FDR.Jr
JF-Expert Member
- Jun 17, 2008
- 1,359
- 353
Jaji joseph sinde warioba hakupewa term ya pili ya uwaziri mkuu na makamu wa rais wa jamhuri wa muungano bila jamii kuelezwa sababu za kutoteuliwa kwake tena kwa awamu ya pili, vivyo hivyo kawawa,msuya na salimu, john malecela yeye hakujiuzuru bali rais alivunja baraza la mawaziri na kumuondoa ktk kiti kile lakini wote hawa ndugu zangu wana jf ni wastaafu ktk kiti hicho. Hatujahoji hili ila tumemkomalia edward lowasa, huyu ni mtu makini aliyethubutu kujiuzuru na kuilinda heshima yake kichama na mamlaka aliyomo. Rais kikwete alikiri na kuridhia kujiuzuru kwake. Anastahili kuheshimiwa, kuenziwa na zaidi ni mstaafu mwenye rekodi ya kuwajibika kitu ambacho mzee wetu malecela alishindwa kukifanya 1994.
Anastahili kuheshimiwa waungwana.
Anastahili kuheshimiwa waungwana.