Lowasa kusomewa mashtaka mapya Zanzibar

Afukuzwe tu kwani ana faida gani? Cha kushangaza wanaokuwa na hofu ni Kibanda na Kubenea ambao walikuwa wanufaika wa fedha za Fisadi Lowasa
Wakonyo awakosekani
 
Chabruma umesahau boss wako Membe alivyomtesa kibanda kisa urais leo unasema ni kibaraka wa Lowassa? Membe anamchukia sana kibanda ameshindwa tu kumuua.
 
Habari ya lowasa
 

Attachments

  • 1421005455014.jpg
    46.6 KB · Views: 3,032
  • 1421005500905.jpg
    52.9 KB · Views: 520



Upendo na huruma ziko wapi Tanzania? Gharama yote aliyotumia mwenzenu mnamtakia nini CCM na CC yenu?

Muhimu tunahitaji AMANI.
 
Afukuzwe tu kwani ana faida gani? Cha kushangaza wanaokuwa na hofu ni Kibanda na Kubenea ambao walikuwa wanufaika wa fedha za Fisadi Lowasa
Tangu umzabe vibao mzee Warioba naona akili yako imevurugika! Hivi hawa wazee wamekukosea nini?
 
ivi wanamuona lowasa tu pinda je?
 
Afukuzwe tu kwani ana faida gani? Cha kushangaza wanaokuwa na hofu ni Kibanda na Kubenea ambao walikuwa wanufaika wa fedha za Fisadi Lowasa

Mkuu umetubu lakini!!Una laana kubwa sana na haiwezi kukuacha kamwe!!
Afu ndani ya chama chenu cha ESCROW yupi ni msafi ukianzia kwa m/kiti wenu mpaka kwa katibu mkuu??Acha upofu maana nahisi pesa unazolipwa kuwachafua watu zinakupofusha!!
Lowassa lazima awe rais wa tz hata mkimfkuza CCM anaweza kusimama kwa miguu yake na akashinda hawategemei WAMA km yule anayekutumia kama CONDOM!!!
 
Huyu kichaa nanevampe madaraka hivi nyie kwa mini mnawadharau wa Tanzania slaa no kichaa jamani bora Freeman anahekima sana
sasa hawa mbowe na slaa wanahusiana nini kwenye mada hii? Zingatia mada usikurupuke...
 
Jamani lait hii habari ingekuwa movie bas ningefowArd ili nione mwisho upoje
 
Nimeshindwa kuweka link mwenye kuweza aende kwenye Twitter ya absolam kibanda kuna hii habari,vilevile kubenea kafichua njama za kumfukuza uanachana Lowasa.
nyingine hizo
 

Attachments

  • 1421006991943.jpg
    77.4 KB · Views: 424
akifukuzwa huyu mtoa rushwa papa, nitakuwa wa kwanza kuingia barabarani kuserebuka
 
CCM nyote mu wafu tu na huyo fisadi wenu mwenye nywele kama mdori wa kigabachori
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…