Nimehamia ukawa kuwapa uzoefu wa utawala serekalini kwa kuwa walionekana wanaenda kushinada uchaguzi
Ndio Sumaye anavyosema. Aliamua kwenda UKAWA kwa sababu hakuna mtu mwenye uzoefu wa kuwa kiongozi wa taifa huko.Kama vile sjakusoma,heb fafanua kidogo
Nimehamia ukawa kuwapa uzoefu wa utawala serekalini kwa kuwa walionekana wanaenda kushinada uchaguzi
Anafanya kazi kama Che Guevara hivi.
Nimehamia ukawa kuwapa uzoefu wa utawala serekalini kwa kuwa walionekana wanaenda kushinada uchaguzi