Nyenyere
JF-Expert Member
- Sep 9, 2010
- 14,842
- 10,765
Je baada ya uchaguzi itakuwaje?
Tumeshinda tumeshindwa nitabaki UKAWA ili hata kama bahati mbaya CCM wameshinda wasilale. nataka upinzani mkali ili watu wasilale. Huu ni uchaguzi wa kuheshimiana ,na tutapata manufaa ya multiparty democracy.
Tunapopima TUNAONA ccm ITASHINDA KILA NGAZI
Katiba ya taifa haikatazi kuchukua hata wana CCM kuunda serekali ingawa sifahamu hao watakaochaguliwa ingawa ni jambo zuri
Ukweli mchungu huu, utawachoma watu mpaka basi