Lowasa katika mikono ya Tido Mhando

Lowasa katika mikono ya Tido Mhando

Swala la ufisadi halizungumzwi tena baada ya ninyi kuhamia huko.

Jibu labda haujatusikiliza vizuri ,kila siku nachapa sana hayo ya ufisadi, sisi tuna piga vita sana serekalini.

swali-lakini mnaupinga juu juu tu-watu wanasubiri muwatajie mhusika mkuu wa Ricmond ni nani-Mi SIKO SEREKALINI NINGEMUELEWA NINGEMTAJA. Sasa mbona Tido wale kumi hawaajwi. Tido hatuwezi kufanya siasa za kubahatisha. Kwenye ile horodha Mzee Mkapa yupo lakini nijuavyo sio fisadi ,siwezi kutaja tu kama chiriku kamqa Dr Slaa.

Swali-Mbona kuna vurugu tu hatusikii ilani wewe na lowassa mnataja tuu na wenzenu CCM wamemuachia Magufuli mwenyewe anatajataja tuuu

jibu-pale hatuendi na ubao na chaki ,hayo yapo kwenye ilani ila huwezi kueleza kwa kila nukta tunaongea yale ya msingi

swali-Mbona hamzungumzii mtapata wapi fedha za elimu bure-

Fedha zipo na hazitumiki vizuri-Wala hakuna gharama kubwa ona shule zza bweni wazazi wanalipa 70000 tu sasa kikubwa ni kukusanya kodi na kupanga vizuri matumizi

wakuu huyu si LOWASSA NI F,Sumaye
 
Kwakuwa ilani inasema elimu bure,leo serekali inapata trilioni .


swali-Nchi hii watu hawaridhiki ni vurumai kila pahala elimu ,afya, kila kitu hakijakaa sawa na watu wanauliza mbona hawa nao wapo huko?

Jibu tulipoingia na Mkapa hali ilikua mbaya sana ,tulifanya kazi sana mi binafsi niliacha kwenda safari nyingi sana sikuenda-

Kumbuka watoto walikuwa wanakaa chini kumbuka nilitoa maagizo ndani ya mwaka madawati yatoshe na yalitosha na ziada kupatikana.

Nakuuliza tena UKAWA itashinda? Kwa uhakika kabisa ---

Mbona Januari anasema wanashinda

Jibu-Kabla Januari hajaongea ilishaelezwa kwenye mitandao kuwa wanatafuta utafiti feki na amakuja nao-Kwa hali ilivyo hawatashinda CCM.

mbona unasema ukiwa wa haki-kuna mambo mambo wanafanya kama kuandikisha kadi za wapiga kura
 
Sumaye kashikwa pabaya. Alidhani Tido ni mwandishi kanjanja.
 
Endapo UKAWA itashindwa nitaendelea kuimarisha upinzani ili CCM isilale.
 
Migogoro ndani ya UKAWA itakwisha na hoja kuwa viongozi hawashiriki sana ni kwa sababu ya kubwana na majimbo na organisation ya kiofisi-vnginevyo UKAWA ipo IMARA.


na wewe ni tajiri sana-

Jibu kama ni amshamba ukapanga viongozi wenye mashamba mi ningekuwa mkiani sana , sina shamba Kibaigwa bali Mvomero, mi sina majumba na mali nyingine. Tido heka 300 kwa ajili ya Sumaye -hivi hujawahi kuona unasafiri katika barabara ukaona mashamba makubwa?Hakuna mtu anamuondoa mwananchi na kuchukua ardhi yake. Shamba la mvomero lilikua la chama cha ushirika walikua na deni ikapita kwa mrajisi na mrajisi akapitisha sasa tuachane na wanasiasa uchwara.

Je baada ya uchaguzi itakuwaje?

Tumeshinda tumeshindwa nitabaki UKAWA ili hata kama bahati mbaya CCM wameshinda wasilale. nataka upinzani mkali ili watu wasilale. Huu ni uchaguzi wa kuheshimiana ,na tutapata manufaa ya multiparty democracy.

Tunapopima TUNAONA ccm ITASHINDA KILA NGAZI

Katiba ya taifa haikatazi kuchukua hata wana CCM kuunda serekali ingawa sifahamu hao watakaochaguliwa ingawa ni jambo zuri
 
Ni Sumaye huyo akiwa mikononi mwa TIDO MHANDO nawatakia mchana mwema Moderators wata edit hapo badala ya Lowassa weka Sumaye unajua tena Lowassa yupo kwenye harusi,kitchen party send-off ,uwanja wa taifa basi na hapa nyumbani yupo
 
Mtoa mada... Una UGONJWA WA AKILI...!!

Ur one sided, and deaf...!!!

Lowassa, Ukawa hadi Ikulu...!!
 
Sijui kwa nini Sumaye haamini kama ukawa wanaweza kuchukua nchi, na hata wakichukua haamini kama wanaweza kuendesha serikali.
 
Aunty Ezekiel alisema UKAWA wanamiliki ID na account zaidi ya thelathini kwa kila mtu!!!!
 
Back
Top Bottom