Perrez Amanaya7
Senior Member
- Jul 27, 2019
- 107
- 108
Safi hiyo hakika upo sahihi.Uzuri wa mtu upo machoni mwa mtu, na hakuna mtu mbaya. Na ndio maanaa huyo unaemuona kwako mbaya kuna mwenzio kafa kaoza hapo. Huwezi lazimisha kilicho kizuri kwako basi kiwe kizuri kwa kila mtu. HAIWEZEKANI. Pia uzuri hupimwa na mambo mengi siyo sura na shape tu