Low self esteem inawafanya wanaume wengi ku date wanawake wabaya wa sura

Ameachwa halafu mwanaume kachukua mwanamke mbaya toka April hadi leo anarusha madongo
Ha ha ha haa
 
Tatizo hao ke wenye mvuto sana smart brains ni wachache mno, watu ambao wako powerful zaidi kichwani huwa hatupendelei wanawake ma bogus.

It has nothing to do with self esteem. Ni maamuzi tu ya mtu. Ikumbukwe mtoto anachukua % kubwa ya akili kwa mama yake. so ukichagua mwanamke Bogus then you know wassup!
Kama mleta mada hapa...unaona kabisa bogus kama ni mwanamke.
 
Somehow una point about kujiamini.
Yes nayo ni sabab ya kufanya watu waogope kukaa na madem wazur..
Ila low self asteem inatoka wapi, well inatokana na jamii inavyo waona wasichana warembo.
Jamii inawafanya wasichana warembo waonekane kama miungu flani hiv.
Hali hii huwapa hao wanawake kujiamini kulikopitiliza.. na ndani yake.. vimo kiburi.. majivuno.. kujiona ni wa pekee.
Ndio wako wanawake warembo waliotulia.
Lakin ni nadra sana kupata mwanamke mrembo halafu ana akili na heshima na adab hapo hapo.
Ni wachache sana.
Hii package ni adimu vibaya mno.
Ndio maana wanaume wana back off. Mostly sio kwamba hawajiamini but experience na tabia za hao wanawake warembo.
Hakuna mtu anataka kuoa mke atakae mletea magonjwa ya moyo.. visukari.. kiburi. Ugomvi.. hakuna mwanaume anataka hayo
Mkuu umemaliza kila kitu.

Kuna kajinga flan kanajua sana kuupodoa uso wake. Hivyo hujiona ni mreembo sana. Basi na hivi visimu akiweka mafilter akipata na vilikes kadhaa ndo ouhhh!! She is princes Diana.
Married but very stupid. Ana viwango vyake vya kugongwa.. Nikamuomba mzigo sku moja eti akataka laki... !??

Nikasema PUMBAVU .
 
Kama mleta mada hapa...unaona kabisa bogus kama ni mwanamke.
Aina ya wanawake ambaye ukimtongoza ...they be like.. " hehh we kaka unanionaje...unaweza kuwa na MTU ka Mimi"

Pumbavu zake.

Muonyeshe hela sasa. Shenzy!
 
Aina ya wanawake ambaye ukimtongoza ...they be like.. " hehh we kaka unanionaje...unaweza kuwa na MTU ka Mimi"

Pumbavu zake.

Muonyeshe hela sasa. Shenzy!
🤩🤩🤩🤩🤩 shobo dundo kisa Benjamin Franklins
 
Somehow una point about kujiamini.
Yes nayo ni sabab ya kufanya watu waogope kukaa na madem wazur..
Ila low self asteem inatoka wapi, well inatokana na jamii inavyo waona wasichana warembo.

Jamii inawafanya wasichana warembo waonekane kama miungu flani hiv.
Hali hii huwapa hao wanawake kujiamini kulikopitiliza.. na ndani yake.. vimo kiburi.. majivuno.. kujiona ni wa pekee.

Ndio wako wanawake warembo waliotulia.

Lakin ni nadra sana kupata mwanamke mrembo halafu ana akili na heshima na adab hapo hapo.
Ni wachache sana.
Hii package ni adimu vibaya mno.

Ndio maana wanaume wana back off. Mostly sio kwamba hawajiamini but experience na tabia za hao wanawake warembo.

Hakuna mtu anataka kuoa mke atakae mletea magonjwa ya moyo.. visukari.. kiburi. Ugomvi.. hakuna mwanaume anataka hayo
Realshit mzaee, hii ndio basis ya sie kuoa mwanamke wa kawaida na kugonga michepuko warembo. Kimsingi si kila mwanamke ako meant kuwa wives, wengine ni for temporary uses.
 
Tatizo ni pesa. Mwnaaume asie na pesa huwa hajiamini kabisa.
Wanaume waliooa wake waliowazidi muonekano huwa mwanamke ana kipato kuliko mwanaume sio zaidi ya hapo.
Wanaume wachache sana wenye pesa zao wanaoa wanawake ambao tunasema ni wabaya japo kwake anaweza akawa anamuona mzuri.

Mwanamke akikupenda hata awe mzuri kama malaika atakua na wewe.
Tatizo kaka zetu wanaamini mwanamke mzuri sio wa mtu mmoja lazima mpangwe.
Na kuwa mbaya hakumfanyi mwanamke awe na staha na heshima au kuwa vizuri kichwani.
 
Wanaume wengi wanao date wanawake wenye sura na muonekano mbaya wanakuwa na low self esteem. Wanakuwa hawajiamini wanahisi kama muda wowote akitokea mtu anayemzidi pesa au power anaweza kuachwa 😂 au wanakuwa wanahisi wanawake wazuri huwa na wanaume wengi kumbe hata sio kweli hii yote ni kukosa kujiamini.

Wakati mwingine wanahisi ha deserve kuwa na mwanamke mzuri cuz sio type yake yeye type yake ni wale wabaya tu😆 Na vile kama akiwa hana pesa ndio anakuwa hawajiamini kabisa anakuwa anaishi kama mwizi ameona poliçe.

Kuna wakati hata wakipendwa kutoka moyoni hawa amini 😂 sasa mtu unaishi vipi na mtu usiyekuamini unaamua umuache kweli akatafute asiyejiamini mwenzake 😂 hapa ndio anaenda kupata mwanamke hata ajulikani ni mwanamke au vipi kabayaaaa kapo kapo tu hakijulikani ukiwauliza wanasema wanawake wabaya wana tabia nzuri 😂😂😂😂 sasa kajitu kenyewe kabaya lazima awe na tabia nzuri kwa sababu hajiamini 😂😂 tena anaona wewe amekupata kwa bahati atakuwa a najiweka chini tu kwa kila kitu ili asikupoteze.

Tena afadhali wanaume wazee huwa wanajiamini sana kuliko vijana sijui kwanini 😇😇
Mwanamke akiwa na hips na tako hata akiwa na sura ya mjomba wake au baba yake anajiona mzuri balaa na pia mwanamke hata akiwa na sura nzuri kama "FLAT SCREEN" na yeye anjiona sio mzuri......Sasa wewe unawazungumzia wazuri kwenye category ipi?
 
Tatizo ni pesa. Mwnaaume asie na pesa huwa hajiamini kabisa.
Wanaume waliooa wake waliowazidi muonekano huwa mwanamke ana kipato kuliko mwanaume sio zaidi ya hapo.
Wanaume wachache sana wenye pesa zao wanaoa wanawake ambao tunasema ni wabaya japo kwake anaweza akawa anamuona mzuri.
Mwanamke akikupenda hata awe mzuri kama malaika atakua na wewe.
Tatizo kaka zetu wanaamini mwanamke mzuri sio wa mtu mmoja lazima mpangwe.
Na kuwa mbaya hakumfanyi mwanamke awe na staha na heshima au kuwa vizuri kichwani.
Kuna point mnaimiss...!!?

Au mmekosa wanaume.!

Mimi na kipato changu nimechagua Wa saizi yangu..
Why mnafosi !!??
 
We ni Mwanamke hata siku moja hauwezi kujuwa Wanaume tunampendea nini Mwanamke.

Kila mtu ana choice yake kwenye kuuona uzuri wa Mwanamke kama ambavyo Ex wako kakupiga chini wewe mwenye sura nzuri ya urembo wa dukani na kaenda kwa wife material with brain.Usipanic Mkuu,kuachwa kupo!
 
Hii kusema wanawake wazuri wanakuwa sio smart kichwani nayo ni kuwa na low confidence. Katika kila group ya watu lazima kutakuwa na mabogus na smart hata hao wabaya pia wako kibao sio smart ila kwa vile mmeweka kichwani wanawake wazuri sio smart inaonekana hivyo ila sio kweli eti wengi wao sio smart. Kuna wanawake wengi katika jamii ni wazuri pia ni wana akili.

Halafu pia kuna hii tabia ya wanaume wakiona wanawake wazuri wamefika sehemu nzuri wanahisi sio akili zao zimewafikisha hapo lazima nyuma kutakuwa na mwanaume amesababisha. Lakini mwanamke mbaya akifika mbali watu wanasema akili zake ndio zimemfikisha aliko hii nayo inachangia wanawake wazuri kuonekana sio smart. Ni low confidence ya watu tu.
Mwanamke anayejihisi ni mzuri hawezi kuwa na plan yoyote zaidi ya kuwaza uchi wake na namna ya kuwatega wanaume.
Wanaume ndio huwa wanamuanzishia vimiradi vya kumhonga. Otherwise nyuchi zao zinateseka Sana.!!
Mwanaume mwenye mpango wa kuwa na familia yenye mshauri mzuri hawezi kutafuta mwanamke ambaye kila muda anawaza uzuri wake.
 
👆🏾Nami ni m1 wao. Ila kuchagua unachostahili sio low self esteem. Mapenz kwa sasa ni hela tu.
 
Back
Top Bottom