Loving you Mahondaw

Loving you Mahondaw

Yaaaan mm nlikua nishakaa standby kutangaza matuta😀😀😀 DK ya 120 tu nashangaa naona Mpira unaeleza ndan😀😀....
Sema hawa wenyewe kila hatua Wanafika kimungumungu tu😀😀😀😀
Yani wamepita kimazabe mazabe sana dah!
Ngoja tuone kama watatoboa kufika fainaloli
 
We Cheka TU watu wanajiona watakatifu na kujifanya ku judge maisha ya watu yakiletwa Yao jukwaani wanaanza kupanic .

Huyo Mzee na Saint Anne wanakojoleana sana tu kuanzia kipindi Cha corona 2020 to date basi TU acha nitulie

Huyo Saint Anne anawadanganya watu kila siku ni mama mtumishi ila ,,,,,,,, haya bana

Inatosha Kwa Leo
Kivumbi leo
 
Analia lia eti sio kweli. Wakati siku ile kidogo aokote makopo.
hii ya kulipia chumba na hakutokea, si niliambiwa eti dada alizingua dkk ya mwsho, akasema kapata dharuraaa? Au haikua hivyo?

Semaa dada aliyekua ananipa umbea, id yake last seen August 2023 sijui yuko na id ingne, ila maubuyu ya JF nilikua nayapata vyediiii.
 
Watu wanafki sana Tena hao wanaojifanya eti mi mtoto wa yesu nataka kujenga kanisa sijui nn nn yaani mi nachekaga TU watajijua ila hiyo mbabu apunguze ujuaji TU 🫤
Ndiomana huwa nacheka sana humu nikiandikaga kuwa Jf unaa mwingi watu hawanielewagiiii kabisa!

Sasa kuna sie tunaojifanya hatukomenti kabisa humu alooo tukute nyuma ya pazia sasa 🙌🙌🙌!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom