Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 36,242
- 86,938
Itakuwa 🤣🤣🤣Umri utakua umeenda na niponipo tu uduguuu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣!
Itakuwa 🤣🤣🤣Umri utakua umeenda na niponipo tu uduguuu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣!
kwani Alieanzisha uzi ninani nyiee???Hahah bro...
The bottomline ni kwamba kuna mwamba anawasugua wachuchu atakavyo, halafu wachuchu wanamgombania mwana kwa kupasiana...
Mchuchu mkubwa yeye ana guts za kuja JF kuanzisha timbwili la asha ngedere na timu yake ya mdundiko kwamba bwana sasa karudi zizini, vinyamkera wote warudi kuzimu...
Mark my words, siku si nyingi unaweza ukaibuka tena uzi hapa wa upande mwingine...
Unamaanisha kuwa haijaisha hadi iishe?Hahah bro...
The bottomline ni kwamba kuna mwamba anawasugua wachuchu atakavyo, halafu wachuchu wanamgombania mwana kwa kupasiana...
Mchuchu mkubwa yeye ana guts za kuja JF kuanzisha timbwili la asha ngedere na timu yake ya mdundiko kwamba bwana sasa karudi zizini, vinyamkera wote warudi kuzimu...
Mark my words, siku si nyingi unaweza ukaibuka tena uzi hapa wa upande mwingine...
😂Ni vyema ukafuta hii statement maana rafiki yako alijinyakulia Smart911 na leo ni kilio kwenu. Bisha
kwani Alieanzisha uzi ninani nyiee???
Halafu yeye anajibu kwa kukoment kama wanavokoment wengine unataka akae kimya tu ye asikoment???
Hahahahahahahahahahh! Ni
Mnanichekessssaaajeee🤣🤣( kwa sauti ya kibogoyo)
Unamaanisha kuwa haijaisha hadi iishe?
Uzi kaanzisha smart kumuandikia Mahondaw watu wanaweweseka nyieeee!
Hakunaga pigo baya kama kurudisha shambulizi😂😂😂Hadi sasa inaonekana huu ni mwanzo tu wa season 2...
Ni vyema ukafuta hii statement maana rafiki yako alijinyakulia Smart911 na leo ni kilio kwenu. Bisha
Kuna watu wanajifanya kumtetea kumbe wanajoleza moto.😂 Sasa rafiki na hasimu wangu wa zamani, unataka tuusome tu uzi kama PM tusiweke ushubwada wetu hata kidogo?
Mbona namtamani jmn😍😍😍Shunie wa watu anajilia raha zake mpaka ashaisahau jf ashapata bonge la bwanaa anapendwa kwa vitendo
Ndio maana hata humu kapotea bwana kakaba beki zote
Hakunaga pigo baya kama kurudisha shambulizi😂😂😂
Weee tangu mwanzo unanikandia tu hasimu hebu nitetee namimi one time basi🤣🤣🤠🤠🤠( Kidding )😂 Sasa rafiki na hasimu wangu wa zamani, unataka tuusome tu uzi kama PM tusiweke ushubwada wetu hata kidogo?
kwa niaba ya nani wewe😂😂Kwa niaba yake nasema SU haya tunasubiri kupokea simu 😂😂😂😂
Kusikiliza, kusoma au kuona haijawahi kuwa kosa, waliyaleta huku ili tuyaone.Sisi wapenda kushuhudia makombora tupo pembeni tunashuhudia hekaheka za moto tu ukiwaka...
Kamuanzishia watu8 ama???Uzi kaanzisha ndugai, show unasimamia manywele...
Tunafuatilia mtanange kimyakimya 😂Hivi wambea wenzangu mpo lakini?? Sitaki kuja kuulizwa baadae 🤣🤣🤣🤣
Weee tangu mwanzo unanikandia tu hasimu hebu nitetee namimi one time basi🤣🤣🤠🤠🤠( Kidding )
Basi sawa mwaego wee endelea kuniponda tu