Loving you Mahondaw

Loving you Mahondaw

Hizo story kuna zilipoanziaga uduguuu tena humuhumu watu wanajizima data tu kutaka nionekane mimi ndie nilizianzisha !
Okay wanasema mimi nilisema jamaa amewaambukiza Gono/Ukimwi

Amewaambukiza means hakuniambukiza mimi but wao

Mpaka hapo waambukizwaji ndio source yahizi story and not me!

All was a lie he's clean and safe!
Wewe hukupewa kumbe uduguu.?!!
Walitumia dawa gani? 😜
Km bado wanione nna dawa ya mizizi kutoka makete niwatibie 🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️
 
Sa watoto kitu gani? Kwani wanawabeba mgongoni? Yani watoto ndo wazuie watu kupendana🤣🤣🤣 nyieee🤣🤣🤣

Wifi Lamomy hebu weka ule wimbo wa Nandy na Alikiba couple yetu ienjoyyyyy.
Huo hapo wifi

Lyrics​

Mmmmmh oh oh oooh mmmh
(Yogo on the Beats)

Yaani, nikikutazama
Naiona dunia wangu peke yangu tu
Jua linapozama, giza likiingia
Natamani nikuine tu

Ooh baby ukisakata rhumba
Sijalewa nayumba
Caterpillar limebomoa nyumba
Mmmh

Natamani nife nizikwe nawe
Shida na raha nawe
Niwe nawe

Mwenzako nimepatwa na homa
Umepasua ngoma
We baba ni noma
Mmmh

Akili imesita imegoma
Mwisho wa reli Kigoma
Mmmh ooh ooh

Oh baby (Nibakishie)
Usinipe vyote mie (Nibakishie)
Utaniua (Nibakishie)
Kwa iyo roho yangu (Nibakishie)

Oh baby (Nibakishie)
Usinipe vyote mie (Nibakishie)
Utaniua (Nibakishie)
Kwa iyo roho yangu (Nibakishie)
Ooh baby

Nishaharibu koki ya mapenzi
Acha nilowe
Pacha wangu ni wewe
Tunamatch sare sare

Nitazurura kulilinda penzi
Kwa ndumba na chale
Tetere nipe mchele
Mzoga wake mwewe

Ooh, basi nikabidhi
Ooh moyo
Sitopunja wala kuupima
Aiyayaya

Haya nishaka ganzi na kichomi kuchoma
Mwili mzima wa tetema, ooh baby
Baby, umetekenya ngoma
We mama ni noma (Noma)

Akili imesita imegoma
Mwisho wa reli Kigoma
Kigoma, Kigoma ooh ooh

Oh baby (Nibakishie)
Usinipe vyote mie (Nibakishie)
Utaniua (Nibakishie)
Kwa iyo roho yangu (Nibakishie)

Oh baby (Nibakishie)
Usinipe vyote mie (Nibakishie)
Utaniua (Nibakishie)
Kwa iyo roho yangu (Nibakishie)

Ooh baby, Ooh baby eeh
Sio na ndio, na ndio eeh baby
Baby, aah ndio baby
Sio, Yogo on the beat
Na ndio, na ndio, I see you, I see you
I love you baby
 
Naomba jibu lako mimi humu mjinga.
Unataka kuniambia Smart911 atamuoa Mahondaw?

Je Smart hana Mke?
Kuna mdau nilisoma mahala kuwa Mslahondaw ana watoto 2 je ni wa Smart911?

Mahondaw hana mume?

Ukinijibu haya humu sitaingia tena

Hujui kitu asee usitake kujifanya unatufahamu kuliko tunavojifahamu sisi wenyewe!

Afu huko kuumia kwio????

Mbona hasira hivo kwema????
 
Huo hapo wifi

Lyrics​

Mmmmmh oh oh oooh mmmh
(Yogo on the Beats)

Yaani, nikikutazama
Naiona dunia wangu peke yangu tu
Jua linapozama, giza likiingia
Natamani nikuine tu

Ooh baby ukisakata rhumba
Sijalewa nayumba
Caterpillar limebomoa nyumba
Mmmh

Natamani nife nizikwe nawe
Shida na raha nawe
Niwe nawe

Mwenzako nimepatwa na homa
Umepasua ngoma
We baba ni noma
Mmmh

Akili imesita imegoma
Mwisho wa reli Kigoma
Mmmh ooh ooh

Oh baby (Nibakishie)
Usinipe vyote mie (Nibakishie)
Utaniua (Nibakishie)
Kwa iyo roho yangu (Nibakishie)

Oh baby (Nibakishie)
Usinipe vyote mie (Nibakishie)
Utaniua (Nibakishie)
Kwa iyo roho yangu (Nibakishie)
Ooh baby

Nishaharibu koki ya mapenzi
Acha nilowe
Pacha wangu ni wewe
Tunamatch sare sare

Nitazurura kulilinda penzi
Kwa ndumba na chale
Tetere nipe mchele
Mzoga wake mwewe

Ooh, basi nikabidhi
Ooh moyo
Sitopunja wala kuupima
Aiyayaya

Haya nishaka ganzi na kichomi kuchoma
Mwili mzima wa tetema, ooh baby
Baby, umetekenya ngoma
We mama ni noma (Noma)

Akili imesita imegoma
Mwisho wa reli Kigoma
Kigoma, Kigoma ooh ooh

Oh baby (Nibakishie)
Usinipe vyote mie (Nibakishie)
Utaniua (Nibakishie)
Kwa iyo roho yangu (Nibakishie)

Oh baby (Nibakishie)
Usinipe vyote mie (Nibakishie)
Utaniua (Nibakishie)
Kwa iyo roho yangu (Nibakishie)

Ooh baby, Ooh baby eeh
Sio na ndio, na ndio eeh baby
Baby, aah ndio baby
Sio, Yogo on the beat
Na ndio, na ndio, I see you, I see you
I love you baby
😂😂ila watu
 
Huo hapo wifi

Lyrics​

Mmmmmh oh oh oooh mmmh
(Yogo on the Beats)

Yaani, nikikutazama
Naiona dunia wangu peke yangu tu
Jua linapozama, giza likiingia
Natamani nikuine tu

Ooh baby ukisakata rhumba
Sijalewa nayumba
Caterpillar limebomoa nyumba
Mmmh

Natamani nife nizikwe nawe
Shida na raha nawe
Niwe nawe

Mwenzako nimepatwa na homa
Umepasua ngoma
We baba ni noma
Mmmh

Akili imesita imegoma
Mwisho wa reli Kigoma
Mmmh ooh ooh

Oh baby (Nibakishie)
Usinipe vyote mie (Nibakishie)
Utaniua (Nibakishie)
Kwa iyo roho yangu (Nibakishie)

Oh baby (Nibakishie)
Usinipe vyote mie (Nibakishie)
Utaniua (Nibakishie)
Kwa iyo roho yangu (Nibakishie)
Ooh baby

Nishaharibu koki ya mapenzi
Acha nilowe
Pacha wangu ni wewe
Tunamatch sare sare

Nitazurura kulilinda penzi
Kwa ndumba na chale
Tetere nipe mchele
Mzoga wake mwewe

Ooh, basi nikabidhi
Ooh moyo
Sitopunja wala kuupima
Aiyayaya

Haya nishaka ganzi na kichomi kuchoma
Mwili mzima wa tetema, ooh baby
Baby, umetekenya ngoma
We mama ni noma (Noma)

Akili imesita imegoma
Mwisho wa reli Kigoma
Kigoma, Kigoma ooh ooh

Oh baby (Nibakishie)
Usinipe vyote mie (Nibakishie)
Utaniua (Nibakishie)
Kwa iyo roho yangu (Nibakishie)

Oh baby (Nibakishie)
Usinipe vyote mie (Nibakishie)
Utaniua (Nibakishie)
Kwa iyo roho yangu (Nibakishie)

Ooh baby, Ooh baby eeh
Sio na ndio, na ndio eeh baby
Baby, aah ndio baby
Sio, Yogo on the beat
Na ndio, na ndio, I see you, I see you
I love you baby
Santee my Wii....uwafikie wapendanao wote msimu huu wa valentine.
 
Wala sijashadadia gono na uti, nimeuliza kama umepanda mti kabla ya mwingine kukatika au miti imepandana...
...wa kurelax na kunywa ya kutosha unadhani ni mimi kweli!! Anyway, furahia huba!!

Bro i told you, soma comments tu mkubwa mwenzangu...

Nyuzi kama hizi huwa ni saka nyoka, watu wanamwaga mafuta ya taa kwenye mashimo, nyoka wanatoka pangoni wote...

Baada ya hapo kila nyoka anayeibuka toka shimoni anakutana na jambia la kichwa...
 
Tupo pamoja ila hukunielewa, Depal atakuwa uvunguni sasa. Hawezi kuleta kichwa chake. Tumpongeze jike la mbegu Mahondaw kwa kumrudisha na kummliki tena Smart911
Aikooo! Hapo kwa D mnatuchanganya wauza silaha🤣Mdogo Depal aliweka taarifa zote na kwamba Smart angesema Su🤣🤣🤣🤣 evidenga zingemwagwa sikuile akawa mtu mzima kustay Calm and the strorm was in fake Calm Kama huamini fufua Hilo kaburi Simu ziite sasa hivi🤣🤣🤣🤣🤣 Moyo ueleee
 
You are wrong my friend. Ubinadamu si kugive up. Ubinadamu ni kupambania chako hadi tone la mwisho. Mwanamke wa shoka huwa haachi mume wake kirahisi isipokuwa malaya. Mwanamke atapambana na kwenda hata kwa waganga ili amrejeshe mume wake. Roho zenu ni sababu ya umalaya unawasumbua. Unadinywa na huyu, kesho yule keshokutwa etc. Nampongeza @mahondow
Smart911 hapa Nimecheka tu sitii neno 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣!

Mimi leo nataka tu wakongwe wanielekeze story za Ukimwi/Gono zilipoanzia humu naona nabebeshwa kitu kisichonihusu
 
Aikooo! Hapo kwa D mnatuchanganya wauza silaha🤣Mdogo Depal aliweka taarifa zote na kwamba Smart angesema Su🤣🤣🤣🤣 evidenga zingemwagwa sikuile akawa mtu mzima kustay Calm and the strorm was in fake Calm Kama huamini fufua Hilo kaburi Simu ziite sasa hivi🤣🤣🤣🤣🤣 Moyo ueleee
Kwa niaba yake nasema SU haya tunasubiri kupokea simu 😂😂😂😂
 
Aikooo! Hapo kwa D mnatuchanganya wauza silaha🤣Mdogo Depal aliweka taarifa zote na kwamba Smart angesema Su🤣🤣🤣🤣 evidenga zingemwagwa sikuile akawa mtu mzima kustay Calm and the strorm was in fake Calm Kama huamini fufua Hilo kaburi Simu ziite sasa hivi🤣🤣🤣🤣🤣 Moyo ueleee
Mtoto wa Arusha Supermart asikubabaishe tuna data zake. Wewe muombe Mahondaw anipe ruhusa nimwage kila kitu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom