kotelyimola
JF-Expert Member
- Oct 9, 2015
- 1,459
- 1,508
Mahi tena mimi ni Mbe ujueMjibu mahi 🤣🤣🤣
Mahi tena mimi ni Mbe ujueMjibu mahi 🤣🤣🤣
Si wao ndiyo waliambukizana! Wewe unaingiaje tena. Kwa heri naingia uvunguni mwa kabatiSmart911 hapa Nimecheka tu sitii neno 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣!
Mimi leo nataka tu wakongwe wanielekeze story za Ukimwi/Gono zilipoanzia humu naona nabebeshwa kitu kisichonihusu
Mi nishasema suu Kwa sauti huku.....ajibiwe jamani.Kwa niaba yake nasema SU haya tunasubiri kupokea simu 😂😂😂😂
Hunizidi miye wifi 🤣🤣🤣Mambo tuyapendayo hayo my Wii.......
Wallahi wifiyo hizi heka heka nazipendaaaa🤣🤣🤣🤣
Ndo unatuachaje Yani.....sijapentaaaa, nimekugaya.Si wao ndiyo waliambukizana! Wewe unaingiaje tena. Kwa heri naingia uvunguni mwa kabati
Tunasubiri kupokea simu 🤣🤣🤣Mi nishasema suu Kwa sauti huku.....ajibiwe jamani.
Lazima ajitetee mkuu, kama ndio kusutwa ni sawa tu.Naona umesutwa balaa bluu
Mie kila siku nakutaga nyuzi zimefungwa....Leo mambo mchana mchana🤣🤣🤣🤣 aweeeee napentraaaa haya mambo🤣🤣Hunizidi miye wifi 🤣🤣🤣
Na iki kimvua nalewa uku nakula ubuyu wa watoto wa Melo..!!
Leo hatumwi mtoto dukani
Hapo anamaanisha anaenda kutoa makabrasha wii tusubiri..!!!Ndo unatuachaje Yani.....sijapentaaaa, nimekugaya.
Dude lilianza jana hili 😂😂😂Mie kila siku nakutaga nyuzi zimefungwa....Leo mambo mchana mchana🤣🤣🤣🤣 aweeeee napentraaaa haya mambo🤣🤣
Hawezi toa ruhusa. Hizi tunaongea sisi 3rd part Russia na USA wenyew wapo kimya 🤣🤣🤣🤣 ila silaha zinavushwa tuu .Vinginevyo ni soga tu Kama zilivyo za Mahondaw kwamba anamtoto kumbe ni story za AbunuasiMtoto wa Arusha Supermart asikubabaishe tuna data zake. Wewe muombe Mahondaw anipe ruhusa nimwage kila kitu
Mie Naomba maji ya kunywa tuu....nataka nichelewe kulala....Hapo anamaanisha anaenda kutoa makabrasha wii tusubiri..!!!
Kwan savanna yako imeisha tukuongeze?? 🤣🤣🤣
Mambo mengi bro 😂😂😂Mahi tena mimi ni Mbe ujue
Mkuu,Bro i told you, soma comments tu mkubwa mwenzangu...
Nyuzi kama hizi huwa ni saka nyoka, watu wanamwaga mafuta ya taa kwenye mashimo, nyoka wanatoka pangoni wote...
Baada ya hapo kila nyoka anayeibuka toka shimoni anakutana na jambia la kichwa...
Kwa dude hili maji hayakufai wifi, kunywa kitu cha kushtua ubongo 😂😂😂Mie Naomba maji ya kunywa tuu....nataka nichelewe kulala....
Ruhusu haya mafile ili haya mambo yafungwe unless otherwise mnajua kutuchezea wadakuu🤣🤣🤣🤣🤣 but not this timeNo mstiri mkuu ataumbuka sana na ameshakhakha sana hivi karibuni!
😳😳😳 Mahondaw kumbe hana mtoto??Hawezi toa ruhusa. Hizi tunaongea sisi 3rd part Russia na USA wenyew wapo kimya 🤣🤣🤣🤣 ila silaha zinavushwa tuu .Vinginevyo ni soga tu Kama zilivyo za Mahondaw kwamba anamtoto kumbe ni story za Abunuasi