Loving you Mahondaw

Loving you Mahondaw

Wataniiba vipi na hawanijui,wewe wanakujua huko,tena vizuri tu.

Sio utani(inabidi unieleze hili jambo,kwanini napata maswali yako private?una agenda gani na hawa watu?)
Nitakutafuna hayo macho,na vile siwezi kufaidisha watu tu hapa kwa malalamiko.
For real hata mimi unanichanganya.

How comes😕? Itabidi unitumie nione
 
Umenifanya nikague ID's pamoja nakujiangalia kwenye kioo,kumbe mimi bado kijana kabisa kabisa,mwenye nguvu za kumwaga.

Kwahiyo,ulivyosema nichangamke hapa JF nawe unataka kuona ndugu yako nikipata stroke?,kukonda,pressure na wenda wazimu?
sasa vyote hivyo unavipataje wakati unasambaza mahaba kwa umpendae au ulishapindua meza
ID's hazina uhalisia wowote
hizo nguvu za kumwaga angalia usijemwaga ubongo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom