Loving you Mahondaw


naamini umekoma kwa herufi kubwa[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] sema nawaz siku majeshi yakipinduka utaweza kubaki njia kuu au na wew utaham kambi uanze mashambulizi upyaaa[emoji108][emoji23][emoji23][emoji23]
 
naamini umekoma kwa herufi kubwa[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] sema nawaz siku majeshi yakipinduka utaweza kubaki njia kuu au na wew utaham kambi uanze mashambulizi upyaaa[emoji108][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] naomba nisiseme kitu, tusubiri siku husika itakuajee.
 
wasapoti tu mwaya[emoji38][emoji38] hakuna namna sema usiikandie sana tim pinzani kwan yenyew sio ya kwanza kushindwa au kutoka mchezoni[emoji23][emoji3]
Team pinzani nawachachua makusudi warushe makombora nao humu, wanakubali vipi kuwa wanyongee? Yaan huu uzi unatakiwa kuwa bampaa to bampaaa hakuna kupoaaaa.

Vita ni vita muraaaaaaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Team pinzani nawachachua makusudi warushe makombora nao humu, wanakubali vipi kuwa wanyongee? Yaan huu uzi unatakiwa kuwa bampaa to bampaaa hakuna kupoaaaa.

Vita ni vita muraaaaaaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] furaha yako ni kuona watu wanachachuka tu " yu donti wanti pisi,, yu wanti plobulemu oluweziii[emoji1316][emoji16][emoji16]
 
huyu hana mshipa wa aibu[emoji2][emoji2][emoji2] alf hauoni kaanz kutengenez njia ya kuoneakan mwema mapema mnooo maan kajirudisha kwa dada ake[emoji28] alf dada atamaliz kila kit kwa shemej[emoji2]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee uduguu mbona unaniharibiaa sasa? Hujui shem ana maokotoo? Au unataka nikose kuspoiliwa?
Jamani vibayaa hivyoo kusagiana sumu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…