Washamuachia bana
Dadaangu mmUkilogwa hatukupeleki kukuagua ujue shauri yako π€£
Mi Sina jicho la umbea bwana mlongoMimi Hadi nimeamkia hapa nikajua nitakuta mmeshawataja
Huhuu kwa hiyo unamtazamaje shemeji ππWanasema mambo yao muwaachie wenyewee
sasa uduguu ntafanyaje mie? Maana niliambiwa yeye ni mkubwa na anajua nn anafanya, wapendanao wakigombana, wengine mshike jembe mkalimeee.
Ndo nimejua hivi karibunii maana yake.
sasa waja hebu semeni mnataka nifanyejee? Wenyewe wameamua kurudianaa, niwasapoti tyuuh
wamesarendaaaa? Wapo huko chimbo wanajifuaaa wakija kumkwapua sahivi hawamuachiii kamwee.
Unawajua waasi kwa upinduaji hasa ukiwa kurupushaaa?
Hivyo hivyo sasa ntafanyajeee, ila ushunguuuuuHuhuu kwa hiyo unamtazamaje shemeji
naamini umekoma kwa herufi kubwasema nawaz siku majeshi yakipinduka utaweza kubaki njia kuu au na wew utaham kambi uanze mashambulizi upyaaa
ni mtangulizie naniHamna kitu,
Tanguliza hiyo thread,acha maneno mengi.
Team pinzani nawachachua makusudi warushe makombora nao humu, wanakubali vipi kuwa wanyongee? Yaan huu uzi unatakiwa kuwa bampaa to bampaaa hakuna kupoaaaa.wasapoti tu mwayahakuna namna sema usiikandie sana tim pinzani kwan yenyew sio ya kwanza kushindwa au kutoka mchezoni
Hahahahaha.,hahahahahaha,Morning too , Rafiki...naona Saturday ( satoo ) imegonga tenaMorning! Hamna kitu unanifurahisha kama cheko lako
Huhuu kwa hiyo unamtazamaje shemeji
Ushunguuu mwingiii poleHivyo hivyo sasa ntafanyajeee, ila ushunguuuuu
Hata ingekuwa wewe ungefanyaje ππππhuyu hana mshipa wa aibualf hauoni kaanz kutengenez njia ya kuoneakan mwema mapema mnooo maan kajirudisha kwa dada akealf dada atamaliz kila kit kwa shemej
Team pinzani nawachachua makusudi warushe makombora nao humu, wanakubali vipi kuwa wanyongee? Yaan huu uzi unatakiwa kuwa bampaa to bampaaa hakuna kupoaaaa.
Vita ni vita muraaaaaaa,
Siondoki Leo hapa,sitaki kupitwaπππkaa kwa kutuliaa, watakuja so mda.
Hata ingekuwa wewe ungefanyaje
huyu hana mshipa wa aibualf hauoni kaanz kutengenez njia ya kuoneakan mwema mapema mnooo maan kajirudisha kwa dada akealf dada atamaliz kila kit kwa shemej