Loving you Mahondaw


naamini umekoma kwa herufi kubwa
sema nawaz siku majeshi yakipinduka utaweza kubaki njia kuu au na wew utaham kambi uanze mashambulizi upyaaa
 
huyu hana mshipa wa aibu
alf hauoni kaanz kutengenez njia ya kuoneakan mwema mapema mnooo maan kajirudisha kwa dada ake
alf dada atamaliz kila kit kwa shemej
wee uduguu mbona unaniharibiaa sasa? Hujui shem ana maokotoo? Au unataka nikose kuspoiliwa?
Jamani vibayaa hivyoo kusagiana sumu.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…