Umwambie shem na ww akuweke wazi asikufiche km bhangi sasa πππAmeen π€£π€£π€£π€£
National Anthem yukwapi
Aone hii post. Aingie uvunguni apige ukunga.
Unamkataa tena jamani π€£Halafu wala si kweli tunazinguana tu jukwaani mimi sisubutu kutoka na mtu humu,Wanao weza kama hao wana anzishiwa uzi wa kusifiwa πππ
Ameshaoa mwaka jana ila kisiri sana hajakuaga
Ndaga babyπ€π€ππMa mchungaji mi nampendaga mpole shoga angu, yy kucheka tyuu km mimi πππ
Hata ikiwa kweli shida iko wapi?? Utamfanya shem ajitupe ajue hauko serious naye πππHalafu wala si kweli tunazinguana tu jukwaani mimi sisubutu kutoka na mtu humu,Wanao weza kama hao wana anzishiwa uzi wa kusifiwa πππ
Ila jmnπ€£π€£jamani mbona JF kuna manjegeka hiviii, khaaaah
Simkatai ππUnamkataa tena jamani π€£
Samahani dada Maua, ila kuanzia leo WiFi yako ni Nuzulati ππNiombe msamaha walahi sikusamehi mpaka ueleze vizuri imekuwaje umenishushia heshima ukanita msenge kama ulikuwa hutaki ungenitania tu ukaniambia kitu kingine sio tusi kubwa hivyoo . Nakuniambia tu huyo mtu sipo naye kanichefua basi simtag tena mie nafanya tu utani
Ila cocaπ€£π€£π€£Bi mdogooo huna bayaaa,
Uvumilivu Hana huyu atatoboa kwenye ndoa huyuEee mara hii kakimbia?? π€£π€£π€£
Mmmh we nae huna loloteeunampenda tu huyo bwana ako kizembezembe
Mi siongeagi mengi Wizzy mwenyewe anamaliza kila kitu
Nitakusimulia kesho, ss hivi anakunywa ciroc akinishika nyonyo ujue siri zako ziko matatani
Muda wa kuomba mtumishi sa sita na nusuπHebu tulia unakimbilia wapi?