Missy Gf
JF-Expert Member
- Oct 30, 2022
- 5,590
- 15,743
Akija nistue 🤣🤣🤣Dada bado bro naye aje atuonyeshe anavyo kulavu 🤣🤣🤣
Akija nistue 🤣🤣🤣Dada bado bro naye aje atuonyeshe anavyo kulavu 🤣🤣🤣
Jojo umeniita?Daah! Hatari sana
Unaeza kujikuta umemnyima mchezo Watu8 akaamua kujivua gamba akajiita Shimba ya Buyenze akakupata 😂😂
Mie ndio maana naambia watu ukiamua kumkataa mtu humu basi wakatae wote tu manake unaweza kujikuta unazunguka bure tu
Comment yake kaandika kiutani ila ina ukweli ndani yake 😁😁Naendelea kuchukua samari ya wanaume wa JF 😂😂
Mwamba apewe tuzo aisee...ila usikute udugu wetu ni Sega la asali 🤤Kile kikosi noma 🤣🤣🤣
Sema udugu mwamba kawapangua wote dadeq 🏃♀️🏃♀️🏃♀️
Jamani 🤣Ila maua Ntakuchapa 🤣🤣🤣
Ni ID yako mpya??Oooooh kumbe
Uko na unyama mwingi sana😁😁Tunasagiana sumu kweupeee 🤣🤣
🤣🤣🤣 Haya bffAkija nistue 🤣🤣🤣
Hahahahh umakini ni muhimu kwa kweliComment yake kaandika kiutani ila ina ukweli ndani yake 😁😁
Ana utamu mwingi udugu, smart mpk karudi si mchezo 😂😂😂Mwamba apewe tuzo aisee...ila usikute udugu wetu ni Sega la asali 🤤
Uko na unyama mwingi sana😁😁
Hapana hapana.. me yule yule mkuu 😂😂😂🙌🙌🙌Ni ID yako mpya??
Yupi jamaniHapana hapana.. me yule yule mkuu 😂😂😂🙌🙌🙌
Kuanzisha mahusiano humu ni sawa na kubeti moyo yaani lolote linaweza tokea 😁Hahahahh umakini ni muhimu kwa kweli
Mpka unamwagika was😁😁Unyama wa kutosha 😂😂😂
Kwa msioelewa ngoja niwasamaraizie msipitwe na udambu udambu, unajua wambea hatunyimani ubuyu!!
Iko hivi baada ya penzi la Mahondaw na Smart911 kusumbua sana miaka iliyopita, wakatokea waasi wakapindua serikali ya chama tawala…..ikaenda vurugu ya hapa na pale chama tawala kikijitahidi kurudi madarakani lkn wapinzani wakagoma.!!
Bibie akaona isiwe shida akaingia chimbo kujifua, uko ndio kaibuka na mabomu kasambaratisha waasi wote
Sasa hivi karudisha uongozi wake anatamba km hivyo.!!


wew na kantr mnajua kutoa gud samalaization mpka raha ile selfika2 nilikua sielewi ni nni hiz vijembe jaman si mmoja anieleweshe nipate hata kakonsepti kadogo
ndo nikasimuliwa kidogo moyo wang ukapat amani
nikiwa mkubwa nataka kuwa kama wao akiii
Hi nimekumiss jamaniHello beautiful