Loving you Mahondaw

Loving you Mahondaw

Kwa msioelewa ngoja niwasamaraizie msipitwe na udambu udambu, unajua wambea hatunyimani ubuyu!!

Iko hivi baada ya penzi la Mahondaw na Smart911 kusumbua sana miaka iliyopita, wakatokea waasi wakapindua serikali ya chama tawala…..ikaenda vurugu ya hapa na pale chama tawala kikijitahidi kurudi madarakani lkn wapinzani wakagoma.!!
Bibie akaona isiwe shida akaingia chimbo kujifua, uko ndio kaibuka na mabomu kasambaratisha waasi wote 😂😂😂
Sasa hivi karudisha uongozi wake anatamba km hivyo.!!
Hatambi yeye ni njemba ndo imeweka silaha chini

Au unataka kusema hii simu kashika jenero in chaji😁

Anakomment chini ya mwamvuli wa😂
 
Kwa msioelewa ngoja niwasamaraizie msipitwe na udambu udambu, unajua wambea hatunyimani ubuyu!!

Iko hivi baada ya penzi la Mahondaw na Smart911 kusumbua sana miaka iliyopita, wakatokea waasi wakapindua serikali ya chama tawala…..ikaenda vurugu ya hapa na pale chama tawala kikijitahidi kurudi madarakani lkn wapinzani wakagoma.!!
Bibie akaona isiwe shida akaingia chimbo kujifua, uko ndio kaibuka na mabomu kasambaratisha waasi wote 😂😂😂
Sasa hivi karudisha uongozi wake anatamba km hivyo.!!
Shogaangu punguza umbea 😅😅😅
Ila bora umetoa summary Kuna vitoto vya chuo humu vimejiunga jf juzi wasijeruka na shem wetu
Tutawaotesha mabushaa
 
Back
Top Bottom