Loving you Mahondaw

Loving you Mahondaw

Kwa msioelewa ngoja niwasamaraizie msipitwe na udambu udambu, unajua wambea hatunyimani ubuyu!!

Iko hivi baada ya penzi la Mahondaw na Smart911 kusumbua sana miaka iliyopita, wakatokea waasi wakapindua serikali ya chama tawalaโ€ฆ..ikaenda vurugu ya hapa na pale chama tawala kikijitahidi kurudi madarakani lkn wapinzani wakagoma.!!
Bibie akaona isiwe shida akaingia chimbo kujifua, uko ndio kaibuka na mabomu kasambaratisha waasi wote ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Sasa hivi karudisha uongozi wake anatamba km hivyo.!!
Hatambi yeye ni njemba ndo imeweka silaha chini

Au unataka kusema hii simu kashika jenero in chaji๐Ÿ˜

Anakomment chini ya mwamvuli wa๐Ÿ˜‚
 
No one understands you as I do Smart!

Mi Amor uuuuuu babe wanguuuu (Hii code mix sasa ๐Ÿ˜˜๐Ÿค )

Tutagombanaaa tutatukananaaa mwisho wa siku๐Ÿ’•๐Ÿ’•๐Ÿ’•๐Ÿ’•๐Ÿ’• nyieeee true love never die
 
Kwa msioelewa ngoja niwasamaraizie msipitwe na udambu udambu, unajua wambea hatunyimani ubuyu!!

Iko hivi baada ya penzi la Mahondaw na Smart911 kusumbua sana miaka iliyopita, wakatokea waasi wakapindua serikali ya chama tawalaโ€ฆ..ikaenda vurugu ya hapa na pale chama tawala kikijitahidi kurudi madarakani lkn wapinzani wakagoma.!!
Bibie akaona isiwe shida akaingia chimbo kujifua, uko ndio kaibuka na mabomu kasambaratisha waasi wote ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Sasa hivi karudisha uongozi wake anatamba km hivyo.!!
Shogaangu punguza umbea ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…
Ila bora umetoa summary Kuna vitoto vya chuo humu vimejiunga jf juzi wasijeruka na shem wetu
Tutawaotesha mabushaa
 
No one understands you as I do Smart!

Mi Amor uuuuuu babe wanguuuu (Hii code mix sasa ๐Ÿ˜˜๐Ÿค )

Tutagombanaaa tutatukananaaa mwisho wa siku๐Ÿ’•๐Ÿ’•๐Ÿ’•๐Ÿ’•๐Ÿ’• nyieeee true love never die
Weeee mwenye ile picha ya jamaa kabeba viti vingi aipost hapa
Tugawe ๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜



Kulipoa sana humu๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom