Lucchese DeCavalcante
JF-Expert Member
- Jan 10, 2009
- 5,471
- 733
Huyo hapo kwenye picha ni mtangazaji wa zamani wa Channel O Nonhle Thema akiwa na Mobb Deep, kwa msio mfahamu picha yake hii hapa;
Nimependa hiyo PowerPoint kichwani... hapiti chini ya mkomamanga aisee, tutashuhudia kipilipili kikali kuliko cha MkapaHuyo hapo kwenye picha ni mtangazaji wa zamani wa Channel O Nonhle Thema akiwa na Mobb Deep, kwa msio mfahamu picha yake hii hapa;
Mtangazaji wa Kipindi cha Ala za Roho wa Radio Clouds FM, Loveness Dominick Malinzi ‘Diva' ameibuka na kusema kuwa, hana hamu na aliyekuwa mpenzi wake, Mohammed Hassan ‘Morack' na wala hataki kumsikia.
Mtangazaji wa Kipindi cha Ala za Roho wa Radio Clouds FM, Loveness Dominick Malinzi Diva ameibuka na kusema kuwa, hana hamu na aliyekuwa mpenzi wake, Mohammed Hassan Morack na wala hataki kumsikia.