smile of faith
Member
- Jun 30, 2015
- 17
- 12
Habari za mida hii wapendwa,
Mimi ni binti mmoja mtaratibu sana, sijisifii ila niko hivyo kweli. Mapenzi yamenuimiza sana, ilifika mahali nilichukia sana wanaume, niliona ni wanyama nimekaa kipindi kirefu sana bila kujiingiza kwenye mahusiano, kwani nilihitaji kujijenga kwanza niliona labda nitafute kwanza maisha then mapenzi yatakuja tu.
Kwani mapenzi yapo ukipata mtu sahihi ila sikuchoka kumuomba Mungu, hata hvyo nashukuru kwan nimetoka kwenye familia ya wacha Mungu hvyo malezi bora nimeyapata kutoka kwa wazazi na ndugu zangu nimesoma chuo, nikamaliza nikamuomba Mungu kazi akanipa kazi nzuri sana.
Sasa nafikiri ni wakati wa kuwa a wife and a mother sijui hata nimesukumwa nin kuandika humu ndani ila I d'nt need a part time guy, I need someone to be the best husbd for me and best dad to my future kids, awe na kazi either serikalini au private sector, a man who is ready to start a future a God fearing man not just that awe mtafutaji na mapenzi ya dhati awe either Mchaga, Sukuma, Nyakyusa, Mpare au Mhehe.
PM if you fall on the mentioned categories
Mbarikiwe
Mimi ni binti mmoja mtaratibu sana, sijisifii ila niko hivyo kweli. Mapenzi yamenuimiza sana, ilifika mahali nilichukia sana wanaume, niliona ni wanyama nimekaa kipindi kirefu sana bila kujiingiza kwenye mahusiano, kwani nilihitaji kujijenga kwanza niliona labda nitafute kwanza maisha then mapenzi yatakuja tu.
Kwani mapenzi yapo ukipata mtu sahihi ila sikuchoka kumuomba Mungu, hata hvyo nashukuru kwan nimetoka kwenye familia ya wacha Mungu hvyo malezi bora nimeyapata kutoka kwa wazazi na ndugu zangu nimesoma chuo, nikamaliza nikamuomba Mungu kazi akanipa kazi nzuri sana.
Sasa nafikiri ni wakati wa kuwa a wife and a mother sijui hata nimesukumwa nin kuandika humu ndani ila I d'nt need a part time guy, I need someone to be the best husbd for me and best dad to my future kids, awe na kazi either serikalini au private sector, a man who is ready to start a future a God fearing man not just that awe mtafutaji na mapenzi ya dhati awe either Mchaga, Sukuma, Nyakyusa, Mpare au Mhehe.
PM if you fall on the mentioned categories
Mbarikiwe