Indume Yene
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 2,950
- 711
Ndugu wadau, nimeangalia hii picha kwa makini nikagundua kuwa waziri wa utamaduni Bw. Nchimbi ana mgogoro na mafuta ya mwili. Nakumbuka enzi zile za uhujumbu uchumi, hali ya uchumi ilikuwa mbaya, watu wengine nikiwemo mimi nilitumia sabuni (magwanni) kujipaka mwilini kabla sijaenda shule. Ingekuwa vyema kwa waziri kupaka hata sabuni kama mwili wake uko allergic na lotion au mafuta mengine ya mwili.