Nzowa Godat
JF-Expert Member
- Jun 15, 2011
- 2,783
- 819
Umepata wapi hizi taarifa?
Watafiti wa huko Marekani
wanasema kuwa walifanya
majaribio hayo kwa kuwapa
kinga tumbiri 13 kati ya 24
waliotumiwa.
Baada ya mwaka mzima baada
ya majaribio hayo iligundulika
kuwa kati ya Tumbiri wote hao
12 kati yao walikuwa bado
wana kinga dhidi ya virusi vya
ukimwi mwilini.
Matokeo hayo yaliyochapishwa
katika jarida la sayansi, Nature,
huenda yakawa mchango
muhimu katika utengenezaji
wa kinga maalum dhidi ya
maradhi hatari ya ukimwi na
virusi vinavyosababisha
ugonjwa huo.
Wataalamu hao waliwadunga
tumbiri 24 wasiokuwa na
maradhi yoyote kinga
iliyokuwa na mfano wa virusi
uliotengenezwa katika
maabara, rhesus
cytomegalovirus (CMV).
Kinga hii ilitengenezwa kwa
ajili ya kuunda sumu ya
kushambulia ugonjwa wa
ukimwi unaowakumba tumbiri
(SIV) sawa na HIV kwa
Binadamu.
Baada ya kipindi cha mwaka
mzima ilibainika kuwa kinga
hiyo ilikuwa na uwezo kamili
dhidi ya ukimwi wa Tumbiri
kati ya tumbiri 13 tu, ikiwa
nusu ya idadi hiyo iligundulika
kuwa na kinga baada ya kipindi
cha mwaka mzima.
Kinga hiyo ilitumiwa kwa
kushinikiza uzalishaji wa aina
ya seli fulani ya damu, seli
zijulikanazo kitaalamu kama
"effector memory T-cells",
ambazo hubaki kuwa imara
mwilini kwa kipindi kirefu hata
baada ya virusi kuteketezwa
na kutowa ulinzi wa mwili kwa
kipindi kirefu.
Umepata wapi hizi taarifa?
Umepata wapi hizi taarifa?
Watafiti wa huko Marekani
wanasema kuwa walifanya
majaribio hayo kwa kuwapa
kinga tumbiri 13 kati ya 24
waliotumiwa.
Baada ya mwaka mzima baada
ya majaribio hayo iligundulika
kuwa kati ya Tumbiri wote hao
12 kati yao walikuwa bado
wana kinga dhidi ya virusi vya
ukimwi mwilini.
Matokeo hayo yaliyochapishwa
katika jarida la sayansi, Nature,
huenda yakawa mchango
muhimu katika utengenezaji
wa kinga maalum dhidi ya
maradhi hatari ya ukimwi na
virusi vinavyosababisha
ugonjwa huo.
Wataalamu hao waliwadunga
tumbiri 24 wasiokuwa na
maradhi yoyote kinga
iliyokuwa na mfano wa virusi
uliotengenezwa katika
maabara, rhesus
cytomegalovirus (CMV).
Kinga hii ilitengenezwa kwa
ajili ya kuunda sumu ya
kushambulia ugonjwa wa
ukimwi unaowakumba tumbiri
(SIV) sawa na HIV kwa
Binadamu.
Baada ya kipindi cha mwaka
mzima ilibainika kuwa kinga
hiyo ilikuwa na uwezo kamili
dhidi ya ukimwi wa Tumbiri
kati ya tumbiri 13 tu, ikiwa
nusu ya idadi hiyo iligundulika
kuwa na kinga baada ya kipindi
cha mwaka mzima.
Kinga hiyo ilitumiwa kwa
kushinikiza uzalishaji wa aina
ya seli fulani ya damu, seli
zijulikanazo kitaalamu kama
"effector memory T-cells",
ambazo hubaki kuwa imara
mwilini kwa kipindi kirefu hata
baada ya virusi kuteketezwa
na kutowa ulinzi wa mwili kwa
kipindi kirefu.
Mkubwa! Uko sahihi ila ngoja 2subirie.
ukimwi siyo mpaka kuzini mkuu,ajari,kuambukizwa kutoka kwa mama,kuambukizwa kwa sababu ya kushare vitu kama sindano,wembe etc
wazinzi mrudieni Bwana Mungu wenu, zinaa haina maana.