Looking for recommendation how to be enlighten, conscious, great thinker and sensitive

sonofsun

Member
Mar 30, 2018
21
19
Habari za jioni wana JF, poleni na majukumu.

Niende moja kwa moja kwenye mada. Ni kwa muda mrefu nmekua nikitumia jamii forums kama sehemu ya kujifunzia Mambo mbali mbali ya kimaisha kwenye nyanja tofauti tofauti.

Binafsi napendelea kutembelea jukwaa la jamii intelligence na jukwa la Mambo ya kilimo na bishara thou ! Chichat nipo namo.

Kwa kipindi chote hiko nilikua sleeping partner. namanisha nilikua nasoma nyuzi mbali mbali na comments za watu basi sikuwahi kuchangia chochote, labda kwa sababu sikujua taratibu za humu ndani lakin kadri siku zinavyozid napata abc za JF.


Kiu yangu kubwa nikutaka kua great thinker, nifikiri nje ya box, niwe na uwezo wa ku reason mambo kwa ustadi. Niwe sensitive na mazingira, niwe mtu wa logic, ni build confidence na pia niwe na some sort of wisdom.


Naomba ushauri kuhusu life style, vitabu gani vya kusoma, muvi gani za kuangalia.
Na chochote ambacho kinaweza kua msaada kutimiza kiu yangu. Asante
 
Hakuna -mwenye uwezo wa ajabu kuzidi wewe. Mimi naamini wewe tayari umeshaanza kupiga hatua katika kukata kiu yako hiyo, namaanisha kuna watu elfu nyuma yako waliokosa sifa ya kujiamini na kushindwa kuchangia hata thread za Mshana JR na huku ikiwa mauzauza yamekuwa sehemu ya maisha yao, bora wewe umeuliza japo swali.
Sasa niseme kwamba unatakiwa kujiamini kwanza kisha kuitumia vyema elimu kubwa ulioipata hapa JF kwa muda wote uliokuwa mwanachama mfu.
Kwa maelezo yako nadhani utakuwa umepitia nyuzi mbalimbali, thread zilizopangiliwa vyema, na kuandikwa kwa uzuri na zenye maana pana kabisa. ZISIKUTISHE!! Bali zitizame kama changamoto tu, kisha jichunguze wewe binafsi ni kitu gani unakiweza, yaani kinaweza kukufanya ujihisi Great thinker ndani ya ma Great thinker wa JF! nielewe hapa. " mwaka flani hivi nilijiunga na group la kisayansi lenye watu asili ya Marekani, sasa wakati napitia pitia topics ndani ya group sikubahatika kujaribu hata kuchangia hoja, kwa maana hakuna nilichokijua huko, sasa siku moja wakati napitia pitia katika kusoma sheria za group nikakutana na kipengere kisemacho, " Ni marufuku kuuliza swali hapa ambalo Google unaweza kujibiwa" hadi hapo nikaona hili group sio size yangu kabisaaa labda wakina Steve Jobs ndo wenye kufaa na si mimi kichwa maji. Lakini wazo likanijia kichwani " swali ambalo Google itashindwa kujibu?" Basi siku moja nikauliza ndani ya group " Nime Google jinsi ya kulifuta hili group letu pendwa lakini Google haikunipa majibu sahihi, msaada tafadhali" baada ya hapo nilishangaa kuona comment zaidi ya 1000 katika post yangu yakipuuzi nilizua hoja nyingi sana baina yao wenyewe kwa wenyewe kwenye group, mwisho wa siku nikajiona mshindi kwa kuwateka akiri zao japo kwa muda kidogo tu. Sasa kumbe hata wewe unaweza kubuni njia yako hapa JF kwa kuuliza hata maswali ambayo ma Great thinker watakosa majibu sahihi na hata kuziogopa thread zako, njia ni nyingi anza kuchangia point katika majukwaa uyapendayo, kujiongezea maarifa kwa kusoma vitabu, na sio lazima kuandika thread kama wakina Gentamicin, Jenga hoja na jitahidi kuchangia mada mara kwa mara Mkuu
 
jibu la yote ni MUNGU Yeye ndio chanzo cha hekima yote plus furaha..siri ipo kwenye jina MUNGU nyingine mbwembwe tu
 
Hakuna -mwenye uwezo wa ajabu kuzidi wewe. Mimi naamini wewe tayari umeshaanza kupiga hatua katika kukata kiu yako hiyo, namaanisha kuna watu elfu nyuma yako waliokosa sifa ya kujiamini na kushindwa kuchangia hata thread za Mshana JR na huku ikiwa mauzauza yamekuwa sehemu ya maisha yao, bora wewe umeuliza japo swali.
Sasa niseme kwamba unatakiwa kujiamini kwanza kisha kuitumia vyema elimu kubwa ulioipata hapa JF kwa muda wote uliokuwa mwanachama mfu.
Kwa maelezo yako nadhani utakuwa umepitia nyuzi mbalimbali, thread zilizopangiliwa vyema, na kuandikwa kwa uzuri na zenye maana pana kabisa. ZISIKUTISHE!! Bali zitizame kama changamoto tu, kisha jichunguze wewe binafsi ni kitu gani unakiweza, yaani kinaweza kukufanya ujihisi Great thinker ndani ya ma Great thinker wa JF! nielewe hapa. " mwaka flani hivi nilijiunga na group la kisayansi lenye watu asili ya Marekani, sasa wakati napitia pitia topics ndani ya group sikubahatika kujaribu hata kuchangia hoja, kwa maana hakuna nilichokijua huko, sasa siku moja wakati napitia pitia katika kusoma sheria za group nikakutana na kipengere kisemacho, " Ni marufuku kuuliza swali hapa ambalo Google unaweza kujibiwa" hadi hapo nikaona hili group sio size yangu kabisaaa labda wakina Steve Jobs ndo wenye kufaa na si mimi kichwa maji. Lakini wazo likanijia kichwani " swali ambalo Google itashindwa kujibu?" Basi siku moja nikauliza ndani ya group " Nime Google jinsi ya kulifuta hili group letu pendwa lakini Google haikunipa majibu sahihi, msaada tafadhali" baada ya hapo nilishangaa kuona comment zaidi ya 1000 katika post yangu yakipuuzi nilizua hoja nyingi sana baina yao wenyewe kwa wenyewe kwenye group, mwisho wa siku nikajiona mshindi kwa kuwateka akiri zao japo kwa muda kidogo tu. Sasa kumbe hata wewe unaweza kubuni njia yako hapa JF kwa kuuliza hata maswali ambayo ma Great thinker watakosa majibu sahihi na hata kuziogopa thread zako, njia ni nyingi anza kuchangia point katika majukwaa uyapendayo, kujiongezea maarifa kwa kusoma vitabu, na sio lazima kuandika thread kama wakina Gentamicin, Jenga hoja na jitahidi kuchangia mada mara kwa mara Mkuu
Nashukuru sana mkuu, hii ni inspiration kubwa sana kwangu.......... Asante kwa kuniongezea kitu.
 
Naweza kukushauri kuwa cha muhimu zaidi ni kujiamini na kusimamia unachokiamini katika kweli hata kama wengi wanatofautiana na wewe.Yani kuwa jasiri.
Wasomi Ni wengi ila kinachowatofautisha
ni statement hapo juu.

Kuhusu kusoma vitabu hiyo ni hobby ambayo kwa wale ambao hawajazoea kusoma ni vigumu sana kucultivate especially with social media around.Ila safari zote zinaanza na hatua moja.

Well,unaweza ukaanza na kusoma biographies za watu maarufu kama akina Abraham Lincoln,Gaddafi, Adolf Hitler,Watu matajiri,Revolutionists, ukaangalia documentaries za matukio mbalimbali ya kihistoria kama genocides,revolutions,religious wars,its more fun kuliko kuanza kusoma hardcore books.

Unaweza pia kusoma world classics Kama A tale of two cities,Little women,Oliver twist,Robinson Crusoe,Frankenstein,Utopia,Dons and Lovers,Vitabu vya great African writers kama Chinua AchebeAchebe,the list goes on and on.
Atleast ujue who is this Shakespeare people talk about
Umjue Charles Dickens etc
Ila Kama unapenda classics ofcourse.

Kuna religious books sasa za atheists, wafia dini,wapagani etc
Yani philosophical books sasa Inabidi ujue unamsimamo gani kabla hujaanza kusoma hivi vitabu,they can be brainwashing.
Kuna modern na old categories.You choose what suits you best.Google the books when you are ready.

Unaweza soma motivational na inspirational books kibao if you want to.
Sio kila motivational book ya kusomakusoma,some don't have an impact.
You can google for best varieties.
I loved the Robin Sharma books though.Nice motivational stories.
Usisahau the business categories.

Ila I love reading historical books,ndio roots za everything,poor historical knowledge,poor deductions,poor output.
The internet is very very resourceful,enrich yourself.

Yesterday I was in a saloon imagine walikuwa wanaongea waende visiwa vya Seychelles,Nigeria...visiwa vya Seychelles vipo East Africa.So also know your geography.
Kuwa jasiri huku hujui ni kuwa mpumbavu.
 
Naweza kukushauri kuwa cha muhimu zaidi ni kujiamini na kusimamia unachokiamini katika kweli hata kama wengi wanatofautiana na wewe.Yani kuwa jasiri.
Wasomi Ni wengi ila kinachowatofautisha
ni statement hapo juu.

Kuhusu kusoma vitabu hiyo ni hobby ambayo kwa wale ambao hawajazoea kusoma ni vigumu sana kucultivate especially with social media around.Ila safari zote zinaanza na hatua moja.

Well,unaweza ukaanza na kusoma biographies za watu maarufu kama akina Abraham Lincoln,Gaddafi, Adolf Hitler,Watu matajiri,Revolutionists, ukaangalia documentaries za matukio mbalimbali ya kihistoria kama genocides,revolutions,religious wars,its more fun kuliko kuanza kusoma hardcore books.

Unaweza pia kusoma world classics Kama A tale of two cities,Little women,Oliver twist,Robinson Crusoe,Frankenstein,Utopia,Dons and Lovers,Vitabu vya great African writers kama Chinua AchebeAchebe,the list goes on and on.
Atleast ujue who is this Shakespeare people talk about
Umjue Charles Dickens etc
Ila Kama unapenda classics ofcourse.

Kuna religious books sasa za atheists, wafia dini,wapagani etc
Yani philosophical books sasa Inabidi ujue unamsimamo gani kabla hujaanza kusoma hivi vitabu,they can be brainwashing.
Kuna modern na old categories.You choose what suits you best.Google the books when you are ready.

Unaweza soma motivational na inspirational books kibao if you want to.
Sio kila motivational book ya kusomakusoma,some don't have an impact.
You can google for best varieties.
I loved the Robin Sharma books though.Nice motivational stories.
Usisahau the business categories.

Ila I love reading historical books,ndio roots za everything,poor historical knowledge,poor deductions,poor output.
The internet is very very resourceful,enrich yourself.

Yesterday I was in a saloon imagine walikuwa wanaongea waende visiwa vya Seychelles,Nigeria...visiwa vya Seychelles vipo East Africa.So also know your geography.
Kuwa jasiri huku hujui ni kuwa mpumbavu.
Asante mkuu kwa ushauri wako. Baadhi ya uliyonishauri ndo kitu nafanya so far. Nasoma biographies za watu ambao wana ni inspire. Napenda kusoma pia historia hasa ya mwafrika halisi achana na hii historia tuliyoandikiwa na mzungu. Najaribu kutafuta historia ya mwafrika kabla ya ukoloni at least kujua ukweli wa mwafrika halisi. Napitia pitia matukio makubwa ambayo yamewahi tokea dunian.

Nashukuru sana I'm keeping in touch with those comments and advise. I really wanna be positive person.
 
Soma biblia napenda kusoma historia za karne ya kwanza hadi ya tano utakuwa na uelewa mkubwa sana wa mambo ya nyuma kwasababu wengi wetu tumesoma historia kidogo kuanzia karne ya 8
 
Back
Top Bottom