Miss Neddy
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 14,684
- 8,754
mimi naitwa Mamba na makazi yangu ni Mtoni....
Namaanisha Mtoni kwa Aziz Ally...
koh koh koho koh
mimi naitwa Mamba na makazi yangu ni Mtoni....
Namaanisha Mtoni kwa Aziz Ally...
koh koh koho koh
Kupaka nn tena
tumia Cofta...
Hahahaaaa nimechekaaaa shoga angu...ngoja na mid nijipige selfie kesho nitupie humuuu.....hahahaaaa
haijanisaidia bado........
au wahitaji babu akutie sindano...!!!
aibu naona mimi yaaani
Humu ndio jamiii karibu sanaaaa,,,,huyo katania tu weka picha zako hata zoteee inaruhusiwaaa
Tantee
Hheeeee utauaaa kinoma nooomaaaaa
wiki ijayo nakuja huko unipokee nitakuwa nyegeZI mwanza
hahah nibadilishie dawa sindano naogopa sana
Nice to know u
Am christinah by name nipo mwanza
Kesho asubuhi picha yangu itakuwa humuuu...chezzeyya na mie niuze sura ...
Shoga angu na Mimi Sikh hizi nachapia mwandiko kama Pdidy....nlipoteza simu.....Sasa hii simu mpya inanisumbuajee......
Hahahahahhahahhahahhah
Umefurahi niniii