Looking for friends

Looking for friends

Jameni mpaka JF tushaanza kuuza sura? FB, whatsapp Instagram nk kila siku watu kibao wanalike mapicha hata ya ajali na kuomba urafiki. Enzi zetu tulikuwa na madisco ya shule/vyuo, ktk daladala nk. Nakutakia mafanikio dada
 
Jameni mpaka JF tushaanza kuuza sura? FB, whatsapp Instagram nk kila siku watu kibao wanalike mapicha hata ya ajali na kuomba urafiki. Enzi zetu tulikuwa na madisco ya shule/vyuo, ktk daladala nk. Nakutakia mafanikio dada

Aaah we kausha ts a social network. Som othrtyms reserve yr commet.!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom