Habari zenu wakuu,
me nimekua nikiisikia hii kitu inaitwa London metal exchange tangu nasoma lakini sikupata baadhi ya majibu nilokua najiuliza mojawapo ni jinsi gani wanapanga bei na uhusiano wao ukoje na LSE na LONDON BULLION MARKET?
wanauchumi hebu nisaidieni kuelewa haya mambo.
me nimekua nikiisikia hii kitu inaitwa London metal exchange tangu nasoma lakini sikupata baadhi ya majibu nilokua najiuliza mojawapo ni jinsi gani wanapanga bei na uhusiano wao ukoje na LSE na LONDON BULLION MARKET?
wanauchumi hebu nisaidieni kuelewa haya mambo.