“Loliondogate” is back with climate change biting deep in Maasailand

Wewe Mtanzania unaunga mkono wamasai wauawe ili mwarabu aliyekuwa anawinda na kuuwa watu weusi na wengine kuwauza utumwani, aje afurahie uwindaji wa anasa?
Hizo habari za "kuunga mkono wamasai wauwawe na mwarabu" ndio uzandiki wenyewe. Iko wazi kwamba Namba ya watu na mifugo imeongezeka so inaathiri ecologia ya eneo husika! Mbaya zaidi wameanza kufuga na kondoo ambao wanakula mpaka mizizi, ambao huko Maasai mara mnakatazaaa kabisa kuingiza kondoo.
 
Ebu niulize swali.Kwani nyinyi wa Kenya kwenye hii issue ya Loliondo na Ngorongoro mna maslai gani mpaka mnakuwa busy kuchochea kuni hivyo na hizo NGO's zenu
Ndugu the matter is so obvious; ng'ombe wanalishwa Ngorongoro lkn wanauzwa Kenya kwa ajili ya export to meadle east. Tanzania bei ya nyama inapanda kila siku because of this people. Wacha Masai watawanywe ili kufrustate soko la nyama Kenya. Mama Samia go ahead. All is known. Haiwezekani nchi itumike na nchi jirani kama kichaka cha malisho. Wakenya wapo Ngorongoro, wanyarwandwa walikuwa Pori la akiba kule Ngara Hadi JK alipopeleka special force kipindi kile. Mambo ni mengi, Masai wasitumike kama cover. Inatosha.
 
Hizo habari za "kuunga mkono wamasai wauwawe na mwarabu" ndio uzandiki wenyewe.Iko wazi kwamba Namba ya watu na mifugo imeongezeka so inaathiri ecologia ya eneo husika! Mbaya zaidi wameanza kufuga na kondoo ambao wanakula mpaka mizizi,ambao huko Maasai mara mnakatazaaa kabisa kuingiza kondoo
Hao waarabu wa Ortello Business Corporation anakuja kufanya nini? Sustainable life ya wamasai bado inawezekana. Lakini kilicho nyuma ya hii ishu siyo unachosema. Ni pesa za kukupeleka utumwani. Mikono ya waarabu inanuka damu na ugaidi.
 
Ndugu the matter is so obvious; ng'ombe wanalishwa Ngorongoro lkn wanauzwa Kenya kwa ajili ya export to meadle east. Tanzania bei ya nyama inapanda kila siku because of this people. Wacha Masai watawanywe ili kufrustate soko la nyama Kenya. Mama Samia go ahead. All is known. Haiwezekani nchi itumike na nchi jirani kama kichaka cha malisho. Wakenya wapo Ngorongoro, wanyarwandwa walikuwa Pori la akiba kule Ngara Hadi JK alipopeleka special force kipindi kile. Mambo ni mengi, Masai wasitumike kama cover. Inatosha.
Ahsante mkuu, kwa kuongezea sasa hivi namba ya Kondoo kule(ngorongoro) ni kubwa sana zaidi ya ng'ombe na mbuzi.Kondoo anakula nyasi mpaka mizizi na hivyo kupelekea uharibifu wa mazingira.

Namba ya kondoo ni kubwa kwa sababu bei yake sokoni imechangamka.

Screenshot_20220219-234127_Chrome.jpg
 
Nakunwa sana na kauli ya Waziri Mkuu Kassim Majaliwa hivi karibuni huko Ngorongoro kwamba wamaasai wanaoishi maeneo ya Ngorongoro waondoke kwa hiari yao ili kupisha maendeleo ya utalii ambao umo hatarini kutokana na kuongezeka kwa idadi ya watu (Maasai) na mifugo yao. Je, kauli hii ni ombi la hiari au amri ya kimyakimya? Je, Wamaasai wakiamua kutoondoka kwa hiari hawatashurutishwa? Hivi hizo fedha za utalii hua zinarudi kuendeleza Wamaasai? Je, hizo fedha za utalii zina thamani zaidi kuliko maisha ya watu?
 
Your article smells of 'tribalism' which is long dead in Tanzania.

In Tanzania, OBC and the likes are not accepted, but tribalism is hated!

This issue of Ngorongoro needs to be put to rest, in a manner that will ensure that the words 'Masai, or Masailand' are never mentioned, ever again.

And the only way this can be done is to eliminate, once and for all, the so called Masailand.

The Government need to evict the Masai immediately.

In Tanzania, pastoralists are all over in the country, and they have never been told that they should leave because it is not their land.
The land in Tanzania is for everybody.

Or are you Winfrith Ogola telling Tanzanians in Morogoro and Tanga Regions to get rid of the Masai pastoralists because Morogoro and Tanga are not Masailand?
 
Nakunwa sana na kauli ya Waziri Mkuu Kassim Majaliwa hivi karibuni huko Ngorongoro kwamba wamaasai wanaoishi maeneo ya Ngorongoro waondoke kwa hiari yao ili kupisha maendeleo ya utalii ambao umo hatarini kutokana na kuongezeka kwa idadi ya watu (Maasai) na mifugo yao. Je kauli hii ni ombi la hiari au amri ya kimyakimya? Je wamaasai wakiamua kutoondoka kwa hiari hawatashurutishwa? Hivi hizo fedha za utalii hua zinarudi kuendeleza wamaasai? Je hizo fedha za utalii zina thamani zaidi kuliko maisha ya watu?
Mmoja wa Wabunge wenye hekima sana Bungeni, Livingstone Lusinde, ametoa 'Ushauri Muafaka' kuwa wale wote wanaowatetea Wamasai wasiondolewe Ngorongoro, wachukuliwe na kupelekwa wao na familia zao, waende kuishi Ngorongoro.

Winfrith Hikloch Ogola na Familia yako uko tayari kwenda kuishi Ngorongoro?

Uishi katika Nyumba ya Nyasi, maana, 'Makubaliano ya Kikoloni yalizuia Wakazi wasijenge Nyumba bora'.

Hakuna kulima. Hakuna kumiliki ardhi.

Hakuna kujenga Shule wala Zahanati bora, labda ziwe za 'Nyasi'.

Winfrith Hikloch Ogola, ukitamka kuwa uko tayari, wewe na familia yako kuhamia Ngorongoro katika mazingira hayo ya makubaliano ya Kikoloni na Kikabila, nitajua kuwa wewe siyo mnafiki.

Vinginevyo, unamtumikia 'Kafiri' upate mradi wako.
 
Africa ni muathirika mkubwa sana wa laana ya rasilimali "resource curse".
Huu mgogoro wa Loliondo kwa nini haushi? nadhani kuna wanasiasa wanafaidi au wanataka kufaidi kutokea hapo, isijekuwa wanawalazimisha kuondoka kwa ajili ya wawekezaji.

Hao wawekezaji watafute sehemu nyingine au wawalipe watakaowahamisha, hii serikali iwe makini sana itazidi kuonekana ipo kwa ajili ya matajiri
 
Your article smells of 'tribalism' which is long dead in Tanzania.

In Tanzania, OBC and the likes are not accepted, but tribalism is hated!

This issue of Ngorongoro needs to be put to rest, in a manner that will ensure that the words 'Masai, or Masailand' are never mentioned, ever again.

And the only way this can be done is to eliminate, once and for all, the so called Masailand.

The Government need to evict the Masai immediately.

In Tanzania, pastoralists are all over in the country, and they have never been told that they should leave because it is not their land.
The land in Tanzania is for everybody.

Or are you Winfrith Ogola telling Tanzanians in Morogoro and Tanga Regions to get rid of the Masai pastoralists because Morogoro and Tanga are not Masailand?
Sukumaland is there and so is Chaggaland, Heheland, Zaramoland, etc. In Tanzania there are lands for 120 or so tribes of Tanzania and these lands are not for everybody unless you do not know your culture and history which means you do not know yourself! No facts no right to speak; Loliondo is in Ngorongoro but I am not writing or talking about Ngorongoro Conservation Area which you seem to refer to when you say the "government need to evict the Maasai immediately". By the way, it is written Maasai not Masai, language could be a problem.
 
Back
Top Bottom