maranduhussein
JF-Expert Member
- Jul 5, 2011
- 275
- 140
Kweli kabisa husna,dunia rangi rangire bhanaUkisema we cha nn wenzio wanajiuliza watakipata ln
Kweli kabisa husna,dunia rangi rangire bhanaUkisema we cha nn wenzio wanajiuliza watakipata ln
Kuna mchanganyo mara upate dyudyu mara upate papuchiWe umeonaje
mkuuHapo kuna mambo matatu nikushauri.Kwanza vyema ukutafuta elimu ya ndoa ili ujue kusudio lake ni nini.Pili shukuru Muumbaji kakupa mwanaume mwenye nguvu madhubuti.Usiikufuru neema hii.Tatu kama wewe unaona humudu mikiki mikiki yake,mwambie aongeze mke mwingine ili 'akupunguzie mzigo'.
Hiyo haisomi kilometer kama nafasi na uwezo wa kuitumia upo kwa nn uipangie?Njia pekee ya kufaidi penzi ninkufanya mara chache sana
Kuna wenzio wanahangaika nayo mwaka mzima inasimama mara moja tu tena goigoi kama vile inagonjeka[/QUOTE
Mkuu
Umenigusa....inagonjeka???!!
Tuko Kariobangi au Madhare joh!
Ushauri mzuri.Fanya kama alivyofanya MKUU WA WILAYA YA PANGANI KWA MUMEWE MWAKA HUU
Ni ushauri tuu nimetoaHiyo haisomi kilometer kama nafasi na uwezo wa kuitumia upo kwa nn uipangie?
Service yake maji na chakula inarudi upyaaaaa!
Watu wengine msiwe mnachangia nyuzi kama mnakaanga vitunguu jikoni.Mbuzi kafia kwa muuza supu.
Ukikubali kuolewa ndio madhara yake hayo.
Mkuu in kweli tu,Mpe tu mama hakuna namna hapo
Ushauri sawa mkuu lakini nikuambie ukweli kachumbari ya ndoa ni Sex unless ndo yenu INA migogoro au mmechoka sababu Fulani Fulani lakini ndio migogoro yenyewe, kama mko fresh MNA amani kamuwezi kukaa bila kuombana na mnakulana kweli kweli! Take my word hats wanandoa halisi watanisupportNi ushauri tuu nimetoa