Loh! Mwanaume unataka nanii kila siku

Loh! Mwanaume unataka nanii kila siku

Hi wanajukwaa la mapenzi!

Kila siku mwanaume anataka mchezo nimemvumilia lakini nahisi kuchoka sasa.Akitoka kazini tu hata kuoga anaona anachelewa babe njoo huku nikifika tayari kaliamsha lisokolokwinyo.

Asubuhi hata jogoo hajalia tayari napapaswa na huwa hangojei nikae mkao mzuri kashalichomeka kunako chumvi mautelezi ya kutosha muda huo huo.Wikiendi ndo usiseme Mara mbili au tatu Kwa siku.

Saa nyingine hata akinikuta nasukwa au nimekaa na watoto utamsikia akiwafokea watoto "ondokeni hapa! kachezeni huko".Kinacho fuata naitwa ndani nampa.Sasa nahisi kuchoka jamani huku naogopa asije pata kisingizio cha kuchepuka.

Naombeni ushauri jamani imekuwa too much huyu mume wangu hachoki.
Mahali alitoa shiling ngapi? Pengine hapa ndo penye tatizo. Mahali za milion nane sio nzuri, ndo wanaangalia fidiaje ma gap.
 
Muwekee mafuta ya taa kwenye vyakula unavyomuandalia atapungua nguvu na hamu ya tendo ila kwa kua papuchi yako imeshazoea ukifuata ushauri wangu side effect ni kua utaanza kutafuta wa nje ili wakufanyie km jamaa anavyokufanyia....
 
Nimesoma uzi wako mmoja , kumbe wewe ni mmama mtu mzima na huyo shemeji yetu ni kaserengeti kanauza icecream za bahressa.haaa

Kama hako kaserengeti kapo u22 basi ndio maana kanawaza nyapu tuu kila saa.haa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kweli kwenye miti hamna wajenzi, wengine tunapata Mara 2 ikizidi tatu kwa wiki Hadi tunatafuta michepuko au tunawaza kumpandisha cheo awe mke mkubwa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom