Loh! Mwanaume unataka nanii kila siku

Loh! Mwanaume unataka nanii kila siku

Hapna utani kwenye mambo serious km hayo bana
Wakuu,
Mwanadamu kiumbe wa ajabu. He has an unpredictable phenomenon, when he has peace he says he is fade up of it and goes looking for war.
Mwanaume anakutimizia kazi mlio ahidiana wakati wa ndoa hats wazazi wako walijua siku hivyo kwamba mtoto wetu anaenda kugegedwa.
Sasa subiri Huyo bwana spate mahali pa kudafisha rungu kwa kasi hiyo upumzike maana umechoka na usitafute ushauri sababu umeyataka.
Ni mpuuzi wewe nisamehe kusema hivyo sababu ukiona bwana yako anakuja hivyo ndoa yenu ni paradiso!
 
Hujampa sawa sawa huyo, hebu jaribu kumfungia kazi ya masaa mawili tu huyo kama atahitaji tena kesho yake.

Fanya mautundu, wewe ndo uongoze mechi, usimpe hata nafasi ya kupumzika mbona ataita maji mma.
 
wewe nawe muongo muongo sana Mara useme Jamaa yako nimpiga punyeto ..Mara useme umechoka kupigwa mkuyenge ..wewe siulitoa Uzi ukilalami kwamba mumeo anakosa nini kwako mpka anapiga CHAPUTA
haya Jamaa kajahuku kasoma Uzi wako ule kaamua kujirekebisha anakutmbezea kito...kila Mara ili kukutoa wasi wasi ili usidhani kuwa hakuridhishi kama ulivyo dai ...cha ajabu badala ya kushukuru MUNGU kwakumfnya Jamaa yko kubadilika ..
NOW UMEKUJA TENA WAANZA KULIA KULIA AISEE ...
Alafu kweli eeh!
Ila humu jf hasa huku kwenye mastory ya town, story nyingi ni za uongo na kuchangamsha genge tu.

Unakuta mwingine hana shughuli ya kufanya anatunga uzi humu ili apate reply za kutosha apunguze stress
 
Usichoke ukiona hivyo ndo ujue apigi nnje wee kazana tu kumpa kila atakapo
 
Alafu kweli eeh!
Ila humu jf hasa huku kwenye mastory ya town, story nyingi ni za uongo na kuchangamsha genge tu.

Unakuta mwingine hana shughuli ya kufanya anatunga uzi humu ili apate reply za kutosha apunguze stress
kabisa mkuu humu kuna watu huwa wanatulisha matango pori mnooo aiseee
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] wenzie wanalia kuwa hawaridhishwi yeye analamika kuwa anaovadoziwa lol

Sasa hapo kuna kuridhishwa kweli jmn[emoji3][emoji3]mtu anakuingilia km mnyamaa[emoji848]ni shidaaaaa
 
Sio kweli. Kama ni mume wake ana haki. After all sex drive kwa wanaume iko juu kuliko wanawake so wala sio kitu cha ajabu. Siku akiacha kuomba atakuja tena na uzi mwingine hapa kuuliza why kapunguza teh...teh

Ht kama ni haki yake lkn kuwa na utaratibu ni kitu kizuri,inasaidia kila mmoja wenu kuridhikaaa,sasa huyu wa mleta mada ni vurugu sio mapenzi tenaaa ni utumwaa
 
Jaman wanaume mtuhurumie tu. Mm nimeajiriwa, ila nisipopata papuchi only a week, utulivu huwa unaisha kabisa, kazi siwezi kufanya, yaan huwa nasikia kama kuna funza kwenye ubongo wanatembea, mara nishike hiki, kabla hakijaisha nimesharukia kingine, nikishapata dyudyu basi akili hurudi kwenye reli na kazi zinapigwa balaa. Pia nisipopata muda mrefu confidence huwa inapotea kabisa.shemeji yenu ndo alishanipangia kwa mwezi mara moja so akili mu kichwa na vidosho wa town tu
Daaah! Never kutokea maana ya mke nn et! Mwezi mmoja mara moja alikuja kufanya nn kama veep arud kwao labda kama mario
 
Punguza quality ya mlo itapunguza hamu na nguvu ila kila kitu kibafaida na kasoro yake so usijeanza kulialia tena mara hoooh! Sjui silidhishwi unakuwa umeyataka mwenyewe
 
Utamu wewe husikii? na siku ukimnyima upendo atapunguza trust me... So unamyima unataka atafute nje? afu kumbe anapiga kimoja komoja tu na week end viwili tu? acha uvivu
 
Hi wanajukwaa la mapenzi!

Kila siku mwanaume anataka mchezo nimemvumilia lakini nahisi kuchoka sasa.Akitoka kazini tu hata kuoga anaona anachelewa babe njoo huku nikifika tayari kaliamsha lisokolokwinyo.

Asubuhi hata jogoo hajalia tayari napapaswa na huwa hangojei nikae mkao mzuri kashalichomeka kunako chumvi mautelezi ya kutosha muda huo huo.Wikiendi ndo usiseme Mara mbili au tatu Kwa siku.

Saa nyingine hata akinikuta nasukwa au nimekaa na watoto utamsikia akiwafokea watoto "ondokeni hapa! kachezeni huko".Kinacho fuata naitwa ndani nampa.Sasa nahisi kuchoka jamani huku naogopa asije pata kisingizio cha kuchepuka.

Naombeni ushauri jamani imekuwa too much huyu mume wangu hachoki.
Mwambie aoe mwanamke mwngne
 
Ht kama ni haki yake lkn kuwa na utaratibu ni kitu kizuri,inasaidia kila mmoja wenu kuridhikaaa,sasa huyu wa mleta mada ni vurugu sio mapenzi tenaaa ni utumwaa

Ndio wakae waongee wapange huo utaratibu sasa. Kulalamika tu bila kumwambia muhusika haibadilishi chochote
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom