Loh! Mwanaume unataka nanii kila siku

Loh! Mwanaume unataka nanii kila siku

Ukimnyima ataanza mchepuko, anzusha tatiba za michezo/mqzoez akitoka kazin itasaidia kwa kua atakua anatrot, ball etc
 
Hi wanajukwaa la mapenzi!

Kila siku mwanaume anataka mchezo nimemvumilia lakini nahisi kuchoka sasa.Akitoka kazini tu hata kuoga anaona anachelewa babe njoo huku nikifika tayari kaliamsha lisokolokwinyo.

Asubuhi hata jogoo hajalia tayari napapaswa na huwa hangojei nikae mkao mzuri kashalichomeka kunako chumvi mautelezi ya kutosha muda huo huo.Wikiendi ndo usiseme Mara mbili au tatu Kwa siku.

Saa nyingine hata akinikuta nasukwa au nimekaa na watoto utamsikia akiwafokea watoto "ondokeni hapa! kachezeni huko".Kinacho fuata naitwa ndani nampa.Sasa nahisi kuchoka jamani huku naogopa asije pata kisingizio cha kuchepuka.

Naombeni ushauri jamani imekuwa too much huyu mume wangu hachoki.


Nimemtamani wallah
Ni inbox number yake ya simu please
 
Hi wanajukwaa la mapenzi!

Kila siku mwanaume anataka mchezo nimemvumilia lakini nahisi kuchoka sasa.Akitoka kazini tu hata kuoga anaona anachelewa babe njoo huku nikifika tayari kaliamsha lisokolokwinyo.

Asubuhi hata jogoo hajalia tayari napapaswa na huwa hangojei nikae mkao mzuri kashalichomeka kunako chumvi mautelezi ya kutosha muda huo huo.Wikiendi ndo usiseme Mara mbili au tatu Kwa siku.

Saa nyingine hata akinikuta nasukwa au nimekaa na watoto utamsikia akiwafokea watoto "ondokeni hapa! kachezeni huko".Kinacho fuata naitwa ndani nampa.Sasa nahisi kuchoka jamani huku naogopa asije pata kisingizio cha kuchepuka.

Naombeni ushauri jamani imekuwa too much huyu mume wangu hachoki.
sio Gigy money kweli wewe, si mwenyewe ulisema ''' Nampa nampa nampa Papa''. Mpe sasa
 
Home Mahusiano Eritrea Imetoa Sheria Mpya: Oa Wake Wawili au Nenda Jela.
MAHUSIANOTRENDING
ERITREA IMETOA SHERIA MPYA: OA WAKE WAWILI AU NENDA JELA.
written by Admin January 26, 2016

Wanaume nchini Eritrea, wameagizwa na serikali kuoa mke zaidi ya mmoja, la sivyo unajiweka kwenye hatari ya kwenda jela.
Serikali pia imeahidi kusaidia gharama za harusi pamoja na nyumba. Sheria hii imekuja kutokana na uhaba wa wanaume nchini humo uliotokana na vita kati ya Eritrea na Ethiopia ambapo zaidi ya wanajeshi 150,000 waliuwawa.
Sheria hii haiwahusu wanaume peke yao, mwanamke atakaye kataa mume wake asioe mwanamke wa pili anaadhibiwa kwa kifungo cha maisha jela.
Jina la Eritrea linamaanisha “Red Sea” kwa Kigiriki.

Zifuatazo ni baadhi ya picha za wasichana wa Eritrea.

download1.jpg 335298ba1b9d2ac1f7c70caa8cc105d1.jpg 1503782_tumblr.jpg Eritrean-women.jpg Eritrea Imetoa Sheria Mpya: Oa Wake Wawili au Nenda Jela. - Habari | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
 
Naona sasa wanawake mnapata matatizo ya nguvu za kike, ule mchezo unachosha nani amekwambia?

Unaweza kuchoka kufanya kazi, lakini sio kwenye ule mchezo
 
Tafuta beki tatu mzuri,ila usimwambie
kwamba umemletea ila yeye atajiongeza.
 
Jaman wanaume mtuhurumie tu. Mm nimeajiriwa, ila nisipopata papuchi only a week, utulivu huwa unaisha kabisa, kazi siwezi kufanya, yaan huwa nasikia kama kuna funza kwenye ubongo wanatembea, mara nishike hiki, kabla hakijaisha nimesharukia kingine, nikishapata dyudyu basi akili hurudi kwenye reli na kazi zinapigwa balaa. Pia nisipopata muda mrefu confidence huwa inapotea kabisa.shemeji yenu ndo alishanipangia kwa mwezi mara moja so akili mu kichwa na vidosho wa town tu
Mkuu wewe ni K?
 
Mara 3 kwa siku mbona kidogo tu hiyo, mruhusu mwenzio apate mke wa pili, wewe uwezi kazi, uliolewa ili ufanye nini, unafikiri huyo ni kaka yako? Mwanaume mashine bana, ungekuwa wangu nakutimua
 
Hi wanajukwaa la mapenzi!

Kila siku mwanaume anataka mchezo nimemvumilia lakini nahisi kuchoka sasa.Akitoka kazini tu hata kuoga anaona anachelewa babe njoo huku nikifika tayari kaliamsha lisokolokwinyo.

Asubuhi hata jogoo hajalia tayari napapaswa na huwa hangojei nikae mkao mzuri kashalichomeka kunako chumvi mautelezi ya kutosha muda huo huo.Wikiendi ndo usiseme Mara mbili au tatu Kwa siku.

Saa nyingine hata akinikuta nasukwa au nimekaa na watoto utamsikia akiwafokea watoto "ondokeni hapa! kachezeni huko".Kinacho fuata naitwa ndani nampa.Sasa nahisi kuchoka jamani huku naogopa asije pata kisingizio cha kuchepuka.

Naombeni ushauri jamani imekuwa too much huyu mume wangu hachoki.
Isiposuguliwa itashika kutu, hata hivyo kazi yake ni nini ?Yaelekea jamaa ana bitoke la Bk na si kiba100. Mpe big up mpiganaji mwenzagu!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom