Loh! Mwanaume unataka nanii kila siku

Loh! Mwanaume unataka nanii kila siku

Mbona kama unanisema vile!
ila no, wangu anafurahia aisee.
Mi hata kama Niko mishe zikinipanda tu,naanza kumchombeza Kwenye simu, nachukua usafiri faster,Kuunguza mboga kawaida.
Napiga maji,narudi tena mzigoni MWEPESIIIII na akili iko FRESH!
hii ni moja ya faida ya kujiajiri.

badae baadae huku naumia,NANI ANATAKA!
Haya bwana naona unafaidi raha ya ndoa,sasa kipindi cha uzazi hapo piga ua lazima uchepuke
 
Mkae muyazungumze..too much wakat mwngne inakera..mwambie tu apunguze
 
Wewe mwenyewe unafurahia hiyo hali au unafurahia ndoa bt not mbokito anachokupa mume..?
 
Pole sana...

Wote wawili mpo addicted na ngono...

Ila kwa maelezo yako ni kama unajaribu kuvutia watu...

cc: mahondaw
 
Huyo jamaa ni mwanaume mashine. Sema tu kwa kuwa hazingatii muda na mazingira pia.

Mpe tu ni haki yake, hiyo ndiyo njaa yake kwako. Lasivyo watakusaidia wanawake wenzio.

Haya ndiyo mambo huwa naongea na demu yeyote anapokuwa ameamua kuwa nami.

Show kwangu ni kila siku ninapohitaji. Sipendi show za masharti na ratiba.

Ongea na mumeo awe anazingatia mazingira kama watoto au marafiki wapo awe anatulia kwanza.
 
Mkae muyazungumze..too much wakat mwngne inakera..mwambie tu apunguze
Mumewe zimemjaa Apunguze,akapunguzie wapi na yeye ndie mkewe!

Halafu mbona ile mechi huwa haikinai. Mie tu niseme "asante mama nimeridhika au leo au sahizi siko sawa"
ila yeye haumwi, yuko fresh tu, ninataka,nitam-trick atajaa tu mwenyewe,

Me nikiambiwa hivyo tu, lazima nihisi kuna mtu ameanza kunisaidia au kuna mpango wa kusaidiwa hapa(talk by experience mume anaweza akanyimwa mwezi mzima kwa kutafutiwa sababu kibao kumbe kuna jamaa tu ANAVUNDIKIWA TUNDA).Hivyo Nitaongeza juhudi na idadi ya vipindi kufunga mlango wa shetani kabisa.
 
Inawezekana anaona sex is everything u can offer jitathmin


Sio kweli. Kama ni mume wake ana haki. After all sex drive kwa wanaume iko juu kuliko wanawake so wala sio kitu cha ajabu. Siku akiacha kuomba atakuja tena na uzi mwingine hapa kuuliza why kapunguza teh...teh
 
Hi wanajukwaa la mapenzi!

Kila siku mwanaume anataka mchezo nimemvumilia lakini nahisi kuchoka sasa.Akitoka kazini tu hata kuoga anaona anachelewa babe njoo huku nikifika tayari kaliamsha lisokolokwinyo.

Asubuhi hata jogoo hajalia tayari napapaswa na huwa hangojei nikae mkao mzuri kashalichomeka kunako chumvi mautelezi ya kutosha muda huo huo.Wikiendi ndo usiseme Mara mbili au tatu Kwa siku.

Saa nyingine hata akinikuta nasukwa au nimekaa na watoto utamsikia akiwafokea watoto "ondokeni hapa! kachezeni huko".Kinacho fuata naitwa ndani nampa.Sasa nahisi kuchoka jamani huku naogopa asije pata kisingizio cha kuchepuka.

Naombeni ushauri jamani imekuwa too much huyu mume wangu hachoki.
Ulikataa shule nini? Inaonyesha wewe ni mmama wa nyumbani, huna shughuli nyingine zaidi ya kutunza familia na kugongwa.
Pole sana, ndio uanamke huo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom