Jodoki Kalimilo
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 12,671
- 11,339
Unless alimaanisha Wanaume tuhurumiwe vinginevyo hiyo sentence inamtambulisha kama Ke au angeandika "wanawake mtuhurumie"ww ni ke au me?hebu soma ulichoandika'wanaume mtuhurumie'.....
Unless alimaanisha Wanaume tuhurumiwe vinginevyo hiyo sentence inamtambulisha kama Ke au angeandika "wanawake mtuhurumie"ww ni ke au me?hebu soma ulichoandika'wanaume mtuhurumie'.....
Unless alimaanisha Wanaume tuhurumiwe vinginevyo hiyo sentence inamtambulisha kama Ke au angeandika "wanawake mtuhurumie"
HahahaMbona kama unanisema vile!
ila no, wangu anafurahia aisee.
Mi hata kama Niko mishe zikinipanda tu,naanza kumchombeza Kwenye simu, nachukua usafiri faster,Kuunguza mboga kawaida.
Napiga maji,narudi tena mzigoni MWEPESIIIII na akili iko FRESH!
hii ni moja ya faida ya kujiajiri.
badae baadae huku naumia,NANI ANATAKA!
Sio kwa mashushu hayo loh!wewe nawe muongo muongo sana Mara useme Jamaa yako nimpiga punyeto ..Mara useme umechoka kupigwa mkuyenge ..wewe siulitoa Uzi ukilalami kwamba mumeo anakosa nini kwako mpka anapiga CHAPUTA
haya Jamaa kajahuku kasoma Uzi wako ule kaamua kujirekebisha anakutmbezea kito...kila Mara ili kukutoa wasi wasi ili usidhani kuwa hakuridhishi kama ulivyo dai ...cha ajabu badala ya kushukuru MUNGU kwakumfnya Jamaa yko kubadilika ..
NOW UMEKUJA TENA WAANZA KULIA KULIA AISEE ...
tatizo ana tunywesha chai kavu bila kujali utu uzima wote huu tulionaoSio kwa mashushu hayo loh!