Lodge bei nafuu Ubungo

Lodge bei nafuu Ubungo

Wakuu hivi hapa ubungo kuna lodge au hoteli gani bei nafuu kulala lakini yenye quality..then bei gani usiku mmoja?
Hapo ubungo maziwa, kutoka ubungo stendi ya mabasi Hadi hapo kwa bodaboda Ni elf moja to ya kitanzania,lodge yenyewe inaitwa LONDON ,pia na bar ipo humohumo, Bei ni 20 kwa 15
 
Nenda Landmark Hotel room ni elfu 45 ila 40 wanakupa. Room safi na mazingira safi.
 
Kama vipi jisogeze hapo lambo motel karibu na njia panda ya Mabibo upate na huduma "shirikishi"...
 
Back
Top Bottom