Lodge bei nafuu Ubungo

Lodge bei nafuu Ubungo

sinajinasasa

JF-Expert Member
Joined
Dec 10, 2013
Posts
2,989
Reaction score
4,168
Wakuu hivi hapa ubungo kuna lodge au hoteli gani bei nafuu kulala lakini yenye quality..then bei gani usiku mmoja?
 
Kama unaenda maziwa kuna movick hotel rate zao 35.chini yake kidgo kuna lodge ya gorofa nzur 20 tu nlizitumia kipindi natoka songea.
 
Kagame hotel hapo anzia 30,000/- kwenda juu pako vizuri....kibadamo hotel anzia 25,000/- kwenda juu.
 
Bei nafuu na quality nzuri haya maneno hayajawai kuendena
Ni kweli, cha msingi iwe safi, hewa nzuri, usalama nk...nadhani bei inaendana na luxury ambayo sio muhimu kwangu, haya nipe mchongo kuna bei ya chini ya zaidi ya Kibadamo?
 
Back
Top Bottom