tibe_j
JF-Expert Member
- Feb 12, 2015
- 794
- 1,077
Na kuamkapo kabisaPote ulishaga lalamo?
Na kuamkapo kabisaPote ulishaga lalamo?
Runzewe nililala siku moja tena ni juzi Mwezi wa 3,ndizi nyama ni 1000hakuna za 3000?
Kesho mi nalala mpendwaSawa babaa
SawaKesho mi nalala mpendwa
Hakuna cha Elfu tatu?
Hizi si nilisikia zimefungwa mkuu?Nenda Landmark Hotel room ni elfu 45 ila 40 wanakupa. Room safi na mazingira safi.
Zinafanya kazi sina uhakika kuhusu bei kama ndio hizoHizi si nilisikia zimefungwa mkuu?
Zilikuwa hostel za Udsm lakini jamaa ameirudisha kuwa Hotel tenaHizi si nilisikia zimefungwa mkuu?
Hii nzuri sana na ulinzi upo wa kutosha nikijaga huko skuizi ndo nafikia hapo na nyingine ni rombo green view hapo shekilango ndo sehem naziaminiNenda silver paradise iko close na hapo iko Manzese tip top,elf 35 chumba cha bei ya chini kabisa .acha kabisa hapo
Bei nafuu na quality nzuri haya maneno hayajawai kuendena
Wale wadada wawili bado wapo?Njoo PATAYA G House 20
Mkuu mwenzako anataka ya bei rahisi yenye uafadhari. 40 ama 45 nauli ya kufika anapoenda iyo ujue
Rombo green view resort chimbo langu elfu 40 double then unaenda mitaa ya kona bar kuchukua mrembo wa kusindikiza usiku mwanana asubui break fast ya nguvu free rooms full ACHii nzuri sana na ulinzi upo wa kutosha nikijaga huko skuizi ndo nafikia hapo na nyingine ni rombo green view hapo shekilango ndo sehem naziamini
Runzewe nililala siku moja tena ni juzi Mwezi wa 3,ndizi nyama ni 1000