Lodge bei nafuu Ubungo

Lodge bei nafuu Ubungo

Kuna Mataa G house! Huna haja ya Boda wale Tax! Dakika 5 tu upo stendi
 
Umetoka wapi mkuu?
Nimetokea "mkoani" nimelala hapo Kibadamo, elfu 30 Room, ila siku hizi uchumi watu husema mgumu lakini nimezunguka hapo kutafuta room, kila hotel imejaa kuanzia Mic Hotel, Kagame na nyingine zenye hadhi zimejaa, nikabahatisha hapo tena kilibaki kimoja
 
Olele guest house karibu na fransi kinyozi,njiapanda ya chuo elfu 7 nahisi au ten
 
Nimetokea "mkoani" nimelala hapo Kibadamo, elfu 30 Room, ila siku hizi uchumi watu husema mgumu lakini nimezunguka hapo kutafuta room, kila hotel imejaa kuanzia Mic Hotel, Kagame na nyingine zenye hadhi zimejaa, nikabahatisha hapo tena kilibaki kimoja
Huwa hawawapendi wa kulala, vyumba vitakua vipo sema kwa vile wewe unalala wamekuzingua
 
Kuna kiloji nyuma ya kagame pale nadhani unaweza kulala hata kwa buku 3-5 ila jiandae kwa lolote (chawa, kunguni n.k).
Ila uzuri wake ni karibu na stendi asubuhi unainua tu beg lako unasogea hapo stendi bila hata boda.
 
Wakati unatafuta hizo Lodge, jihadhari na Matapeli Mkuu...!!

Asikusimamishe yeyote yule akakuambia anauza Simu.

Please take my word...!!
Kuna tapeli mmoja nasikia huwa anakwenda na wake za watu kwenye lodge moja karibu na mnara wa simu Maziwa, akimaliza anapigiwa simu na mtu ambaye wapangishaji wanasema anampanga ni jamaa yake, ni kawaida yake kula bure ...anaambiwa kwenye simu kuwa mwenye mke amegundua walipo anakwenda kuwafumania, mwanamke baada ya kusikia hayo mazungumzo anatimua mbio, na wengi huwa wanatelekeza hata baadhi ya nguo za kutanguliza ndani wanaona zinawachelewesha kutoroka, wanasepa hata bila kudai nauli
 
Kuna tapeli mmoja nasikia huwa anakwenda na wake za watu kwenye lodge moja karibu na mnara wa simu Maziwa, akimaliza anapigiwa simu na mtu ambaye wapangishaji wanasema anampanga ni jamaa yake, ni kawaida yake kula bure ...anaambiwa kwenye simu kuwa mwenye mke amegundua walipo anakwenda kuwafumania, mwanamke baada ya kusikia hayo mazungumzo anatimua mbio, na wengi huwa wanatelekeza hata baadhi ya nguo za kutanguliza ndani wanaona zinawachelewesha kutoroka, wanasepa hata bila kudai nauli
Mwamba ana mbinu
 
Back
Top Bottom