Ndugu kwa sasa sahau pa kulala pa bk 20. Dom imejaa sana labda nje ya mji na uswaz tu.
kivulini guest makole
Hahahaha hii guest naipata nilifikiaga hapo mwaka fulani ni mbaya kwa kweli.kulikuwa na wadada wanajiuza hapo .kiukweli haina hadhi.but mitaa ya makole kuna lodge nyingi tu nzuri ila nawasiwasi zitakuwa zipo na bei juu msimu huu wa bunge
saa 12 wanakuamsha wanataka kudeki
kivulini guest makole
Ha ha ha mkuu nikijaga ndio guest yangu hiyo karbu na Omax pale
Hahaha.kuna lodge moja sikumbuki jina ipo ile njia ya lami katikati ya bunge na chuo cha cbe.ipo vzr kwa 20000tsh asubuhi unaandaliwa chai nzuri.pia service yao ni nzuri. Kama maji ya moto nk