20k per day au ndo tatol budget yako?Habari wadau ,
Naomba kupewa maelekezo wapi nitapata lodge nzuri kwa maeneo hayo nategemea kukaa dsm kwa siku kadhaa ...bajeti yangu ni tsh elfu 20 kwa siku
Asanteni
Hapo sawaBajeti ya lodge kwa siku nimeweka isizidi 20k