Chief Isike
JF-Expert Member
- Jan 17, 2010
- 445
- 462
Sijaelewa kwa nini inakuwa hivi, tangu jana, baada ya milipuko ya Gongolamboto, hatujapata a good report from the scene, hususan katika televisheni zetu. Jan ITV walikuwa wanaendelea tu na kipindi maalum cha mkutano wa viongozi wa dini, TBC wakiendelea na kipindi maalum cha Maulidi, Star TV nayo mambo sijui ya tamthilia.
Sasa hivi pia, no one is there, ukiachailia mbali ripoti za asubuhi katika taarifa za habari na kidogo ile ya TBC walioweza kufika kule, na taarifa ya Pinda bungeni, nothing is going on...wanaweka katuni, picha za Ki-Nigeria, wengine habari za huko nje, basi.
So wanasubiri kuitwa na akina Shimbo na Mwinyi waambiwe so so so and so, kisha watuletee. PLZ TV guys do ur homework. Picture whether in print or televisheni, tell more, especially kwenye event kama hizi. PLz. Msisubiri press conferences na press releases.
Sijaelewa kwa nini inakuwa hivi, tangu jana, baada ya milipuko ya Gongolamboto, hatujapata a good report from the scene, hususan katika televisheni zetu. Jan ITV walikuwa wanaendelea tu na kipindi maalum cha mkutano wa viongozi wa dini, TBC wakiendelea na kipindi maalum cha Maulidi, Star TV nayo mambo sijui ya tamthilia.
Sasa hivi pia, no one is there, ukiachailia mbali ripoti za asubuhi katika taarifa za habari na kidogo ile ya TBC walioweza kufika kule, na taarifa ya Pinda bungeni, nothing is going on...wanaweka katuni, picha za Ki-Nigeria, wengine habari za huko nje, basi.
So wanasubiri kuitwa na akina Shimbo na Mwinyi waambiwe so so so and so, kisha watuletee. PLZ TV guys do ur homework. Picture whether in print or televisheni, tell more, especially kwenye event kama hizi. PLz. Msisubiri press conferences na press releases.
ingekuwa Aljazeera, CNN au BBC World ungepewa full coverage live bila chenga. usiku kucha.
huku kwetu kuripoti habari mpaka upate kibali cha polisi. vinginevyo utakuta wameweka pingu kwenye OB-van na kusingiziwa ulitishia kuuwa mtu ukitaka rushwa ya milioni 10.
Kama mwandishi wa habari you have to be ready for anything.Maybe it was not safe for them to go near the area
Kwa kweli inashangaza zaidi ya mno!!!! Redio zote hakuna hata moja inayotoa taarifa za maafa hayo! Nimejitahidi kutafuta redio hadi redio bila mafanikio!!! Wote wanapiga miziki ya mapenzi tu!!!! Yaaani..... I fail to comprehend about this media of ours!!!!! Outrageous!!!