Local Media na tukio la Gongo la Mboto

Local Media na tukio la Gongo la Mboto

Channel ten wamekuwa kwa muda sasa wanafanya live coverage ya madhara ya mabomu ya Gongo la Mboto. Watu ndio wengine wanarudi makwao na wengine ndio wanahama makwao.

Wameonesha majengo mengi sana yamebomolewa na mabomu. Pia wameonesha mabaki mengi ya mabomu mengi

Waandishi wa habari wanazuiwa kusogelea eneo.

TV zingine zinaonesha miziki na tamthilia
 
Wanaonesha akina mama na watoto jamani wamechoka wanapata shida sana. Poleni sana akina mama it is soooooo saaad
 
Mama weee! Mabaki ya mabomu mengi hivi jamani hali ni mbaya sana kwa mujibu wa channel ten live sasa hivi.
 
Ni aibu sana kwa vyombo vyetu kuendelea na ratiba zao bila kutujuza kipi kinaendelea wakati ni state of emergence... sijui nao waandishi wanaogopa kwenda tukioni? yaani tabu tupu. wao wanachojua ni taarifa za habari tuu.
 
Jamani tazameni Channel Ten mtapata picha kamili ya kilichotokea, watu wanatia huruma kweli kweli.
 
Jamani waambieni Channel Ten wazime huo muziki au wapunguze sauti kabisa kwa sababu tunashindwa kusikia wanachotangaza, pia inatuchanganya akili
 
Inauma sana watu wanahangaika huku na kule kaimu rc dsm anasema kuna watu wanajichanganya na wahanga wapate kunufaika. Sasa mi nashangaa wanufaike kwa lipi huyu jamaa anafikiria nini.
 
Mi haya ndo baadhi ya mambo ambayo hua yananipandisha hasira mpaka natamani ningekua na uwezo ningevifungia vituo vyote visivyokua na uwajibikaji katika matukio muhimu kama haya....
Waangalie CNN kazi wanayofanya linapotokea swala la kughusa maslahi ya wamarekani.
 
Inaumiza sana hasa ukiwa mbali na familia yako. Unafungua tv=0 radio=0 sasa uko nje ya jiji...mkeo kapiga simu kuna mlipuko wa mabomu then simu haipatikani! what follow to u?
 
Inasikitisha sana kuona vyombo vyetu vya habari vinakosa vipaumbele
ambavyo ni muhimu kwa masilahi ya uma

Mimi naamini kidogo wale jamaa wa MLIMANI TV kama wangekuwa na vifaa vya kutosha wangeweza kufanya hiyo kazi, lakini bado wachanga sana na bahati mbaya sana nasikia serikali eti imeanza kuwatisha kutokana na kuwa fair na kutokuibeba CCM na serikali yake kwenye hichohicho kidogo tu wanachokifanya. Mh haya twendage tu hivyohivyo bhaghosha na bhankhima.......:laugh::roll::roll::laugh:
 
Nimemwona Kova anatoa tangazo la watu warudi majumbani mwao! Mwenyewe amekaa kwenye kiti cha kuzunguka zunguka, very relaxed! kama vile hajafa mtu GongolaMboto. Ukakamavu wa wanajeshi umeenda wapi? Au ndio maana kila likitokea jambo wao silaha ya kwanza ni kumuwasha mtu risasi.
 
Jaman around saa saba usiku ITV walikua wanarusha matangazo ya kuhusu gongo la mboto tatizo ni kwa hawa TBC na star tv.
 
KWANI SISI TUNAPOPIGA MAKELELE KUSEMA kuwa hakuna acting goverment mnadhania tunatania?
tz kila kitu ni hovyo hovyo tu
Binafsi nimeshangazwa sana how scanty the report from our major electronic media houses was/have been....Ukisikiliza redio one sasa utasikia wanazungumzia umuhimu wa kuvaa soksi safi na umbea mwingine, clouds nako mipasho na vituko tu, EA radio muziki kwa kwenda mbele nk.watu wengi wangependa kujua je is it safe sasa kwenda maeneo ya huko pugu, Jet, Airport nk kwasababu wengine huko ndiko wanapopata mkate wa kila siku. Traffic ikoje kwa wanaotumia barabara hiyo....hali za mahospitalini ,kuwa na frequent taarifa juu ya watu/watoto waliopotea. Pia kuna amabao tungesafiri leo, je mamlaka ya viwanja vy ndege inasemaje nk....
 
Ni jinsi gani inaonyesha local media (TV) hasa chombo cha taifa TBC zilivyokuwa ovyo kabisa and unprofessional! Angekuwepo Tido pale tungepata habari live. Resources wanazo shida ni unafiki tu wamiliki wa TV media wanaangalia kama kilichotokea kitaichafua serikali, basi ni kusua sua. Kuna waziri anaongoza wizara nzima ya habari sijui ana-minister kitu gani? kama swala dogo kama hili la kupasha habari wananchi linakuwa shida! Ingekuwa ni jambo la kusifia serikali au chama tawala tungeona coverage na comentary kibao! SHAME
 
We have got the worst professional media in the world. Yaani kama sio hizi social media, wala tusingejua kinachoendelea. Yyombo vyetu vya habari vingekuwa mstari wa mbele kujaribu kuunganisha familia zilizopoteana. Tena ingekuwa very simple sana. Yale yale ya TV za Misri. It is so dissapointing kwa kweli. Kwa tukio kama hili ingetakiwa wawe live kuanzia jana communicating with the victims na kuwaunganisha tena na familia.
 
Waandishi wa habari wa Bongo waoga ndugu yangu....mabomu yalipuke umwone paparazi wa kibongo kwenye tukio?..... Hayo waachie akina Anderson Coopers wa CNN na wenzake wanaoona vifaru mitaani Egypt wanatoka Atlanta na kutia timu eneo la tukio...

Bwana asante lakini kwa hili sijui kama watona thread yako labda wataamka

Hata kama walikuwa na uwoga wa kufika gongolamboto, bac si wangileta habari za majeruhi na hata maafa toka hospitalini(Temeke, Amana, Muhimbili na vituo vya polisi(mbande, chamazi nk) ambavyo wahanga wengi walikimbilia. Wao ni bongo fleva kwa kwenda mbele, wametia aibu sana tena sana! Shame on them.
 
Back
Top Bottom