Pain killer
JF-Expert Member
- Aug 15, 2017
- 14,360
- 21,713
Habar zenu
Ngoja niende moja kwa moja kwenye mada,, napenda kuwakumbusha wadogo zangu na kaka zangu jinsi nilivo haso kupata mkopo loan board,, Mim ni miongon mwa vijana kutoka familia ya chin kabisa,, ambapo bila mkopo chuo kikuu nisingeweza kufika kwa namna yeyote ilee, nadhan mnajua hali halis ya watanzania,, nilipo maliza tu six akili yangu iliwaza chuo,, huku nikitafakal loan board kwan bila wao lisingefanyika lolote,, tcu sikuwa nashida nao kwan nilikuwa na division one nisingekosa chuo,, kimbembe kilianza loan board baada ya batch kama nne kutoka bado jina langu halionekani,, niliamua kupanda moja kwa moja mpaka dar nikafikia kwa rafiki angu mbagala nikiwa na fom (copy), toka huko kichwa kimevurugika huku nawaza na kuwazua hatima yangu kama nitakosa mkopo, chuo ntasomaje kama sio kurudi bush kulima na one yangu kali,,, bas nikafika pale mapema asubuhi mhudum mmoja nikaanza kumwambia kwa uchungu huku nimeshikilia fom nalia, akanambia nenda floor ya kwanza apo, fika pale bila woga nawambia hawanielew,, nikaanza kulia tena kwa saut ya uchung mtu mzima apaa,, akaja mama akazipitia fom zangu akasema hazina makosa,, akasema jamn huyo dogo mmupe mkopo asije akajinyonga bure, mara afsa mmoja akatokea pale akasema panda floor ya nne,, nikapanda natetemeka ile mbaya,, izoo zote stress za boom na kuzaliwa masikin,, da kufika juu nakuta wanapakia majina live,, yule afsa kachukua fom zangu nikaona anasain afuu akaandika "paid" akanambia tunaachia batch ya mwisho hii afu tunafungua dirisha la apeal,, mda c mrefuu jina hiloo da sikuamin,, kila nikiona lile jengo naumiaga sana,, namshukuru Mungu nilipata mkopo japo kwa mbinde
Note:batch zilitoka, ukiona jina lako halitokei na ulijaza fom vizur fuatilia mpaka mwisho usikate tamaa,, apaa bongo bila kupambana mkopo n haki yako ila unaweza kukosa hiv hiv
Ngoja niende moja kwa moja kwenye mada,, napenda kuwakumbusha wadogo zangu na kaka zangu jinsi nilivo haso kupata mkopo loan board,, Mim ni miongon mwa vijana kutoka familia ya chin kabisa,, ambapo bila mkopo chuo kikuu nisingeweza kufika kwa namna yeyote ilee, nadhan mnajua hali halis ya watanzania,, nilipo maliza tu six akili yangu iliwaza chuo,, huku nikitafakal loan board kwan bila wao lisingefanyika lolote,, tcu sikuwa nashida nao kwan nilikuwa na division one nisingekosa chuo,, kimbembe kilianza loan board baada ya batch kama nne kutoka bado jina langu halionekani,, niliamua kupanda moja kwa moja mpaka dar nikafikia kwa rafiki angu mbagala nikiwa na fom (copy), toka huko kichwa kimevurugika huku nawaza na kuwazua hatima yangu kama nitakosa mkopo, chuo ntasomaje kama sio kurudi bush kulima na one yangu kali,,, bas nikafika pale mapema asubuhi mhudum mmoja nikaanza kumwambia kwa uchungu huku nimeshikilia fom nalia, akanambia nenda floor ya kwanza apo, fika pale bila woga nawambia hawanielew,, nikaanza kulia tena kwa saut ya uchung mtu mzima apaa,, akaja mama akazipitia fom zangu akasema hazina makosa,, akasema jamn huyo dogo mmupe mkopo asije akajinyonga bure, mara afsa mmoja akatokea pale akasema panda floor ya nne,, nikapanda natetemeka ile mbaya,, izoo zote stress za boom na kuzaliwa masikin,, da kufika juu nakuta wanapakia majina live,, yule afsa kachukua fom zangu nikaona anasain afuu akaandika "paid" akanambia tunaachia batch ya mwisho hii afu tunafungua dirisha la apeal,, mda c mrefuu jina hiloo da sikuamin,, kila nikiona lile jengo naumiaga sana,, namshukuru Mungu nilipata mkopo japo kwa mbinde
Note:batch zilitoka, ukiona jina lako halitokei na ulijaza fom vizur fuatilia mpaka mwisho usikate tamaa,, apaa bongo bila kupambana mkopo n haki yako ila unaweza kukosa hiv hiv
