Getang'wan
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 3,076
- 3,417
Wewe unadhani utaandika upuuzi huu kwenye ushindani halafu nani ahangaike kufikiria ulichomaanisha. Endelea tu hivyo hivyo......Nashukuru umeelewa nilicho andika,
Wewe unadhani utaandika upuuzi huu kwenye ushindani halafu nani ahangaike kufikiria ulichomaanisha. Endelea tu hivyo hivyo......Nashukuru umeelewa nilicho andika,
Njoo pm nikupe vyako,, juzi nimepigwa ban kwa wapuuzi kama wew, pita pemben sawaaWewe unadhani utaandika upuuzi huu kwenye ushindani halafu nani ahangaike kufikiria ulichomaanisha. Endelea tu hivyo hivyo......
Peleka stress zako kule ukajifunze kwanza kuandika. Msomi wa chuo unaandika hovyo hovyo tu ukielekezwa unawaka? Ndio maana mnalialia hampati ajira wakati hamna umakini. Unadhani utaandika barua ya maombi ya ajira umejaza upuuzi wako huo halafu nani aiangalie wakati kuna barua 400 za maombi.Njoo pm nikupe vyako,, juzi nimepigwa ban kwa wapuuzi kama wew, pita pemben sawaa
Kaa mbali na mim wewPeleka stress zako kule ukajifunze kwanza kuandika. Msomi wa chuo unaandika hovyo hovyo tu ukielekezwa unawaka? Ndio maana mnalialia hampati ajira wakati hamna umakini. Unadhani utaandika barua ya maombi ya ajira umejaza upuuzi wako huo halafu nani aiangalie wakati kuna barua 400 za maombi.