Lizombe

X-PASTER

JF-Expert Member
Feb 12, 2007
11,610
1,810
Kapungu



Dedicated kwa mzee wa Mfaranyaki.

Tukuwone bambo.
 
Last edited by a moderator:
Lizombe


 
Last edited by a moderator:
hii ngoma ni tamu mnooo hasa ikipigwa bila kuchakachuliwa kwa nyimbo mbovu za kusifia chama cha magamba. ukianzia LUHILA KWA MCHAYA, matogoro kwa komba kasoma, makambi, mateka, mahenge kwa mwenyekiti challe bombambili hhaaaa enzi hizo miaka ya themanini ikifika mwezi wa sita na wa saba kuendelea makanisa yote yanafululiza kutoa KOMUNIO YA KWANZA KWA WAKATOLIKI, basi kuna ka wimbo flani kalikuwa kananikosha utsakia akina mama wanaimba LELU KUONJAA LELU KUONJA KUONJAA eti leo kuonja kwa mara ya kwanza ekaristi takatifuuuu
 
hii ngoma ni tamu mnooo hasa ikipigwa bila kuchakachuliwa kwa nyimbo mbovu za kusifia chama cha magamba. ukianzia LUHILA KWA MCHAYA, matogoro kwa komba kasoma, makambi, mateka, mahenge kwa mwenyekiti challe bombambili hhaaaa enzi hizo miaka ya themanini ikifika mwezi wa sita na wa saba kuendelea makanisa yote yanafululiza kutoa KOMUNIO YA KWANZA KWA WAKATOLIKI, basi kuna ka wimbo flani kalikuwa kananikosha utsakia akina mama wanaimba LELU KUONJAA LELU KUONJA KUONJAA eti leo kuonja kwa mara ya kwanza ekaristi takatifuuuu


Ha ha ha ha wewe bana na huu je?? Tibuka lepa......malizia
 
hii ngoma ni tamu mnooo hasa ikipigwa bila kuchakachuliwa kwa nyimbo mbovu za kusifia chama cha magamba. ukianzia LUHILA KWA MCHAYA, matogoro kwa komba kasoma, makambi, mateka, mahenge kwa mwenyekiti challe bombambili hhaaaa enzi hizo miaka ya themanini ikifika mwezi wa sita na wa saba kuendelea makanisa yote yanafululiza kutoa KOMUNIO YA KWANZA KWA WAKATOLIKI, basi kuna ka wimbo flani kalikuwa kananikosha utsakia akina mama wanaimba LELU KUONJAA LELU KUONJA KUONJAA eti leo kuonja kwa mara ya kwanza ekaristi takatifuuuu
Kweli siku hazigandi... Hizo siku hazirudi tena.
 
Kweli siku hazigandi... Hizo siku hazirudi tena.

never will they come back! huwa nikirudi kunyumba natembea barabarani maeneo tuliyokuwa tuna enjoy miaka hiyo sasa hivi dah kwishnei maisha yamekuwa naguuumu mno nyasi kila sehemu viwanja tulivyokuwa tunapiga boli hakuna mwamko dah
 
never will they come back! huwa nikirudi kunyumba natembea barabarani maeneo tuliyokuwa tuna enjoy miaka hiyo sasa hivi dah kwishnei maisha yamekuwa naguuumu mno nyasi kila sehemu viwanja tulivyokuwa tunapiga boli hakuna mwamko dah
Dah! Yaani Ngunja mpaka mifukoni...!
 
hii ngoma ni tamu mnooo hasa ikipigwa bila kuchakachuliwa kwa nyimbo mbovu za kusifia chama cha magamba. ukianzia LUHILA KWA MCHAYA, matogoro kwa komba kasoma, makambi, mateka, mahenge kwa mwenyekiti challe bombambili hhaaaa enzi hizo miaka ya themanini ikifika mwezi wa sita na wa saba kuendelea makanisa yote yanafululiza kutoa KOMUNIO YA KWANZA KWA WAKATOLIKI, basi kuna ka wimbo flani kalikuwa kananikosha utsakia akina mama wanaimba LELU KUONJAA LELU KUONJA KUONJAA eti leo kuonja kwa mara ya kwanza ekaristi takatifuuuu
Yaaniii we leka tuu................ KUNA HII KITU MADOGOLI......usiku kucha peku peku kwenye NGUNJA ................Kuna pale KILABU CHA UGIMBI LIZABONI................. madogoli usiku...............asubuhi mnajihimu kutafuta hela................
 
Bambo usengwile sana wenga!penyewe hapa tumiburudika sanooo,umitukumbusha kunyumba wenzako!
 
Back
Top Bottom