Zak Malang
JF-Expert Member
- Dec 30, 2008
- 5,404
- 242
Haya matumizi mabaya ya ofisi ni nini? Au alijinufaisha kwa kutumia ofisi!
Hahahahahahah jamani ubadhilifu wa Ma bilioni ya pesa unafungwa 2yrs, ngoja na mie nikaibeeeeeeeeeeee
Nchi hii hamuijui? Wezi wote wanajulikana kwenye vyombo vya dola. Kuanzia wahindi wanaohujumu uchumi wa nchi, wanasiasa wezi wa mali ya umma, wauza unga, matapeli wa kimataifa mpaka majambazi ya kutumia silaha! Wote wanajulikana, ila hawafikishwi kwenye vyombo vya sheria, na wakifikishwa pesa zao zinawatosha kushinda kesi.
Take my words, nchi hii ukiwa na pesa, hata kama ni za wizi hufungwi. Huyu Liyumba kafungwa kama kiini macho tu!
Watanzania hatujui tunataka nini...asingepatikana na hatia tungelalamiaka,amepatikana na hatia bado tunamuonea huruma...Miaka miwili nikichekesho!
Angalia kifungu cha 31 cha Sheria ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa, 2007, Na. 11/2007:
"31. Any person who intentionally abuses his position in the
performance or failure to perform an act, in violation of law, in the
discharge of his functions or use of position for the purpose of
obtaining an undue advantage for himself or for another person or
entity, commits an offence and shall be liable on conviction to a fine
not exceeding five million shillings or to imprisonment for a term not
exceeding three years or to both."
Akitoka tu Utasikia Kachukua fomu za UBUNGE kupitia CCM!
lazima kate rufaa tu.
mtu kaiba mijihela ya kufa mtu halafu anahukumiwa miaka miwili?! hata kama ni matumizi mabaya ya ofisi basi angefungwa walau hata 5.
kuna jamaa yangu alishikwa kaiba kuku hakimu siku ya hukumu hakimu akaomba kuku aliyeibiwa then akahesabu manyoya ya mkian na ndo ikawa hukumu. kulikuwa na manyoya 17 na ndo ikawa hukumy yake
tanzania hii bana
Biggest joke in my life!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!....baada ya ile ya Zombe!!!!!!!!!!!!!!!!! C'mmon DPP, c'mmon Judiciary...give us a break! Really... there is no decorum left in you? Why make yourselves a laughing stock? You are really changing the trajectory of this peaceful nation![/QUOTE]
You mean the so called peaceful nation?Do you perhaps mean the absence of war? The trajectory was changed very long time ago and the destination now is the abyss! How can it be otherwise -- while the country is being looted right, left and centre and culprits dont go to courts, and if the do, then it is is turned into slapstick humour!
ni kweli ameonewa, na atakata rufaa, na itasikilizwa baada ya miaka 3 mingine, maana amepewa siku 90 za kukata rufaa, mjibu rufaa naye anapewa siku 90 za kujibu rufaa. Msajili anazo ziku 90 kuipangia siku ya kuisikiliza, hakimu naye ana toa siku 90 za kujiridhisha. Halafu siku 90 za kufanya final submission na siku 90 za mwisho za kusoma hukumu!, jumla ni miaka 3!.
Pole sana Amatus Liyumba. Kwa hiyo atatumikia one year? Kwa kuwa kukaa jela wanahesabu siku mchana na usiku? Anyway, vumilia tu Amatus, one year si mbali sana. Kumbuka kuna ambao wamefungwa maisha kama nguza vikings na mwanaye na wengine over 30 years na wengine death penalty so one year or say two zitapita haraka sana. Pole Jennifer kwa kumhangaikia baba yako for over one year and half! Jipe moyo, pangeni mkakati wa kuendelea na maisha baada ya hapo na baba atakuja, tena huenda sikukuu ya uhuru akapata msamaha wa rais.