CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimebuni mbinu mpya ya kudhibiti mamluki wanaochukua fomu za kugombea kupitia chama hicho kisha kutokomea nazo mitini.
Sasa watakaopitishwa na kupewa fomu za chama hicho kugombea ubunge au udiwani, watatakiwa kusaini fomu maalumu mbele ya mahakama ili wakitokomea bila kurejesha fomu Tume ya Uchaguzi (NEC), wapandishwe mahakamani.
Kauli hiyo imetolewa leo na Naibu Katibu Mkuu wa Chadema, Dk. Willbrod Slaa kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye Viwanja vya Magomeni, Jijini Mwanza.
Mwaka huu hakuna kupita bila kupingwa, wagombea wetu wote tutawasainisha mahakamani na wakishindwa kurudisha fomu, tutawashughulikia mahakamani, amesema Dk. Slaa na kuongeza;
Mkuu,Daaaah, kwa hiyo ile slogan yetu TWENDE BUNGENI NA BEN SAANANE ndo imeishia ROMBO?? Aseee, naanza kuifananisha na ile SAFARI YA MATUMAINI iliyoishia DODOMA.Sasa kuhusu ile michango inakuwaje? Maana braza alikuwa anaichanga kwelikweli ili aende bungeni.
Asipopigwa ban kwa name calling naishtaki JF kwa kunisababishia usumbufu usio wa lazima
Mkuu,
Nimewapa pongezi lakini ni makosa kuingia katika uchaguzi katika msingi wa kujaribu!
bado hajapewa haki yake na mods?Wewe Dogo Mwamapalala umegombea wapi. Halafu hiyo Mpoki na Mchambuzi sio Name Calling?
Mkuu,
Nimewapa pongezi lakini ni makosa kuingia katika uchaguzi katika msingi wa kujaribu!
Mkuu,
Nimewapa pongezi lakini ni makosa kuingia katika uchaguzi katika msingi wa kujaribu!
Kama ni name calling basi kaanza mwenyewe anaejiita Mchambuzi, soma hapa: https://www.jamiiforums.com/uchaguzi-tanzania/888297-nawasilisha-nia-na-ridhaa-ya-kuongoza.html
Hivi kwanini huwa mnapenda kukurupuka?
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimebuni mbinu mpya ya kudhibiti mamluki wanaochukua fomu za kugombea kupitia chama hicho kisha kutokomea nazo mitini.
Sasa watakaopitishwa na kupewa fomu za chama hicho kugombea ubunge au udiwani, watatakiwa kusaini fomu maalumu mbele ya mahakama ili wakitokomea bila kurejesha fomu Tume ya Uchaguzi (NEC), wapandishwe mahakamani.
Kauli hiyo imetolewa leo na Naibu Katibu Mkuu wa Chadema, Dk. Willbrod Slaa kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye Viwanja vya Magomeni, Jijini Mwanza.
Mwaka huu hakuna kupita bila kupingwa, wagombea wetu wote tutawasainisha mahakamani na wakishindwa kurudisha fomu, tutawashughulikia mahakamani, amesema Dk. Slaa na kuongeza;
Kama Ansbert Gulumo alivyoacha kazi akaenda kujichimbia kijijini Kamachumu.Nasikia anafahamu misiba yote inayotokea jimbo zima pamoja na sherehe.