Liwapi duka la manukato (perfumes) halisi hapa Dar?

Liwapi duka la manukato (perfumes) halisi hapa Dar?

Mtafiti77

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2011
Posts
1,938
Reaction score
2,353
Ndugu watanashati,

Ninaomba kufahamishwa maduka yanayouza manukato (perfumes) halisi hapa Dar. Ninapenda nipate marashi yanayoanzia elfu themanini(80,000) hadi laki moja na hamsini(150,000).

Tafadhali, ninaomba kujuzwa. Nimechoka marashi fake!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom