endesha
JF-Expert Member
- Dec 9, 2015
- 1,112
- 1,455
"Nampongeza Rais Magufuli,amewafanya wapinzani wa nchi hii hawana hoja ya msingi.Ndio maana wakisimama hapa hawana hoja yoyote ya Msingi.Rais Magufuli akiendelea na spidi hii 2020 hatutakua na mbunge wa upinzani hapa."
Haya ni maneno ya Mbunge wa CCM jimbo la Mtera Livingstone Lusinde akichangia bungeni jana.
My take:
Hivi Dodoma hasa mtera,ukosefu wa lishe umewafanya wadumae kiakili mpaka kukosa mtu wa kuwawakilisha bungeni?Dodoma shtukeni mtakuja kukumbuka shuka kumekucha
Haya ni maneno ya Mbunge wa CCM jimbo la Mtera Livingstone Lusinde akichangia bungeni jana.
My take:
Hivi Dodoma hasa mtera,ukosefu wa lishe umewafanya wadumae kiakili mpaka kukosa mtu wa kuwawakilisha bungeni?Dodoma shtukeni mtakuja kukumbuka shuka kumekucha