Livingstone Lusinde: Kwa spidi hii ya Magufuli, 2020 tunaweza tusiwe na uwakilishi wa upinzani

huyu STD SEVEN ?wagogo tu ndo hawajielewi angekuwa mbeya au arusha au mara wangeshampiga chini siku nyingi uwezo wake uko chini sana.
 
Huu upungufu wa Sukari kumbe unawaasiri mpaka wabunge?!magu awasaidie wabunge wake wa CCM.
 
Actually, JPM anawapa shida CCM zaidi kuliko vyama vya upinzani. Kwani Lusinde hajasikiliza clip iliyopo humu JF wakati JPM anaongea na wafanya biashara? ametumia sana maneno..... "kama walifikiri na mimi nitakuwa kama "wao"....." kwa akili ya Lusinde, anafikiri "wao" anaowataja JPM ni wapinzani? ...kuna watu vichwa vyao vigumu sana kuelewa.
 
"Nampongeza Rais Magufuli,amewafanya wapinzani wa nchi hii hawana hoja ya msingi.Ndio maana wakisimama hapa hawana hoja yoyote ya Msingi.Rais Magufuli akiendelea na spidi hii 2020 hatutakua na mbunge wa upinzani hapa."

Haya ni maneno ya Mbunge wa CCM jimbo la Mtera Livingstone Lusinde akichangia bungeni jana.

My take:
Hivi Dodoma hasa mtera,ukosefu wa lishe umewafanya wadumae kiakili mpaka kukosa mtu wa kuwawakilisha bungeni?Dodoma shtukeni mtakuja kukumbuka shuka kumekucha


Huyu Mshereheshaji mkumbusheni kuhusu Nguvu Mpya, Ari Mpya na Kasi zaidi. Labda ataelewa kidogo na kuwa na nidhamu ya maneno anayoyasema.
 
Huyu naye mnamchukia kama mnavyomchukia Dr Tulia?. Mlimchukia Mama Makinda, mkamchukia Spika. Kazi yenu ni kumchukia kila anayewaambia ukweli.
Hivi kubaini usahihi wa kauli nayo ni chuki? Wengine hatuna mahaba niue na wanasiasa tupo katika kuweka sawa mambo. Akikosea yeyote lazima tumkosoe na kumpa usahihi.
 
Hongera jembe letu la CCM , yaani Kwa kujenga hoja za akili na manufaa Kwa wananchi wewe ndo namba moja Kwa wanaume , upande wa wanawake pia nampongeza sana jembe letu Agnes Marwa Kwa umakini wake mkubwa. Yaani wakina Zito , Lisu, Mdee , bulaya , mnyika , mbatia na mbowe wote wanatamani kama wangekuwa na uwezo wenu mkubwa wa kujenga hoja !

Hakika tumewshika pabaya ukawa, wamekazana sukari sukari wanywe uji wa chumvi! sisi tunahangaika na mahoja makubwa ya kuhakikisha tunawabana wapinzani Kwa kanuni za bunge ambazo sisi hazitatugusa ..

Tena napendekeza Naibu spika ungetuletea singeli ya Man fongo au chura turukeruke maana wasumbufu wote hawapo sasa bungeni, yaani ukawa mtaisomaaaaaaa .....sisi ndo sisi wengine mafisiii saivi ni kupitisha bajeti zote kama tunanawa vileee hakuna haja ya kuhoji maana tuchalewa bureeeee bia za chako ni chako si unajua tena SAA sita baa zinafungwa...

Na mvimbe mpasuke CCM mbele Kwa mbele!!
 
huyu STD SEVEN ?wagogo tu ndo hawajielewi angekuwa mbeya au arusha au mara wangeshampiga chini siku nyingi uwezo wake uko chini sana.
Mara ipi, kule walikompumzisha Vicent na kuamua kuirudisha ccm? Watanzania ni wa aina moja tena usijaribu kuwaomba uwatawale kwa kigezo cha elimu yako utaumbuka, muulize Dr. Masaburi atahadithia
 
Kama mbunge anakuwa na elimu ya darasa la saba, je, hao anaowaongoza wana elimu ya kiasi gani? Huyu ni vuvuzela ambaye kazi yake ni kuropoka tu na kamwe hana uwezo wa kujenga hoja kutokana na kuwa na uwezo mdogo wa kufikiri unaotokana na kukosa elimu.
Unataka kutuambia hata sisi wa Ubungo tuna elimu za hapa na pale kwasababu mbunge wetu haijulikani ana elimu ya kiwango gani?
 
Mbeya si wamemchagua yule 2 proud hivi anaelimu gani yule muimba bongo flava?
kwa akili yako unaweza mfananisha sugu na kibajaji?kibajaji ni std seven F ndo maana wanataka sanamu la diamond liwekwe bungeni,wengine bangi iharalishwe bungeni kina msukuma duuu kweli ni shida.nipe na wewe mchango wa wabunge wa upinzani wanaochangia pumba.
 
Spidi hata kobe ana nafuu. Tanzania imeganda vile vile kama sanamu la posta.
 
kwa akili yako unaweza mfananisha sugu na kibajaji?kibajaji ni std seven F ndo maana wanataka sanamu la diamond liwekwe bungeni,wengine bangi iharalishwe bungeni kina msukuma duuu kweli ni shida.nipe na wewe mchango wa wabunge wa upinzani wanaochangia pumba.
aah wabunge waupinzani wanatema madini matupu kamanda, wakiongozwa na 2 proud aka sugu moto chini.
 
Huy
"Nampongeza Rais Magufuli,amewafanya wapinzani wa nchi hii hawana hoja ya msingi.Ndio maana wakisimama hapa hawana hoja yoyote ya Msingi.Rais Magufuli akiendelea na spidi hii 2020 hatutakua na mbunge wa upinzani hapa."

Haya ni maneno ya Mbunge wa CCM jimbo la Mtera Livingstone Lusinde akichangia bungeni jana.

My take:
Hivi Dodoma hasa mtera,ukosefu wa lishe umewafanya wadumae kiakili mpaka kukosa mtu wa kuwawakilisha bungeni?Dodoma shtukeni mtakuja kukumbuka shuka kumekucha

Huyu Mbunge bwege kabisa. Hajui manufaa katika nchi ya kuwa na upinzani wa nguvu? Mimi kama Mtanzania, bila kujali chama gani kiko madarakani nataka pawepo na upinzani wa nguve. Hata kama ikitokea siku moja UKAWA wakaingia madarakani, nitapenda uwepo upinzani wa nguvu wenye wawakilishi wa kutosha bungeni. Figisufigisu yote hii inatokea kwa kuwa upinzani hawana uwakilishi wa kutosha bungeni.
 
Sijui kwa nini huyu Lusinde wasimpe Uwaziri. The guy is just so great to become a CCM minister any other day!
 
Back
Top Bottom