Liverpool vs Arsenal EPL 8/2/2014 Live Updates

halftime liverpool 4-0 arsenal
yaan nimeondoka na maji nimeagiza hata sijaweza kunywa hapa nimepack gar nasikia kwenye redio half time naona kama nitagongwa jamani 4????
 
Mkuu Mlipie Tu Huyo Atawatoroka Sidhani Atakaa Mpaka Game Iiishe, Atakufa Kwa Presha
Tunavyoongea ameshalipa bill yake na ameingia mitini sasa hivi ni Half time - Liverpool 4 - Asernal 0
 
Tukiwaambia Arsenal uwezo wa kuchukua ubingwa hana ubishi mwiiiiiingi, sasa mmejionea wenyewe.!
 
Leo tunawapiga kwenu Liverpool u fool.....wachezaji wapo wanjani sasa


Haya sasa ni half time viongozi wetu wa ligi mmetandikwa 4---0
Zungumza tena au ndo ww nasikia baada ya kushuhudia kichapo umegoma kulipa bia ulizokunywa kwa hasira
 
Sasa wenger atuonyeshe ugreat manager wake afanye something imposible either apindue matokeo au azuie yasiongezwe zaidi na walau apate mawilii so far ozil naona leo game imemkataa kabisa/mechi imemshinda,
 
ngoja chelsea tumpige newcaster tupande pale juu

Chelsea akishinda na Man city akishinda man city ataongoza kwa tofauti ya magoli. Labda Norwich amshike shati City afu Chelsea tumkekete mtu hapo raha sana
 
Kipindi cha pili kimeanza lets hope we r going to have another entertaining 45 minutes
 
Back
Top Bottom