Yes they can.....
Mkuu J2 km msipowafunga hawa ManU basi hamuwezi kuwashusha tena kwasabbu kuna michezo miwili hiyo lazima mpoteze wa Arsenal na Chelsea....hii michezo lazima mfungwe.....wakati huo huo ManU km mtashindwa kuwafunga J2, mchezo wao ambao wanaweza kupoteza ni wa Chelsea lkn wa Arsenal na City pale OT lazima washinde.....kwa mtazamo huo hamuwezi kuwatoa hapo juu km mtashindwa J2 kuwafung.
Lzm tupoteze kwa Arsenal na Chelsea hii inayoshindwa kumfunga Soton kwake?Chelsea iliyoshinda Capital One kwake huku kipa wake Courtouis akiwa Man of the Match?
Sifungwi na yyt ktk EPL tena hata ww unawaogopa MAJOGOO sasa
Hujavuka mto wa J2 unaaza kutukana mamba mpk wa darajani? Teh teh teh teh J2 baada ya game yenu na ManU tutaongea vzr......
Mkuu ata km tumepoteana lkn hatupotezi mchezo zaidi ya kupata sare...ManU ni wabovu kwa timu ndogo tu lkn wakikutana na timu kubwa lazima wanakua wazuri.... hakuna kazi rahisi kwenu mkuu na ligi imeshakwisha mkuu.
Ebu tusubirie iyo jumapili, sasa mkuu kama umeamini lolote laweza tokea basi inabidi uanze kuamini kua hata CFC mnaweza kuugawa ubingwa ambao tayari fans mnaamini mmeubeba
Lzm tupoteze kwa Arsenal na Chelsea hii inayoshindwa kumfunga Soton kwake?Chelsea iliyoshinda Capital One kwake huku kipa wake Courtouis akiwa Man of the Match?
Sifungwi na yyt ktk EPL tena hata ww unawaogopa MAJOGOO sasa
Huyu jamaa bana eti "lzm Man U"amshinde City na Arsenal?Kwa takwimu zipi?Arsenal kampiga Man U FA hapo hapo juzi tu!Ww hauna uhakika wa kumpiga "mkubwa" yyt kwa sasa maana umetepeta sana
Kugawa ubingwa hilo haliwezwkani mkuu.....
Mkuu naona mgonjwa kaanza kunywa uji mategemeo kibao!Kucheza vyema na Tots sio ndiyo kibali cha kuisumbua Majogoo tena Anfield
Kumbuka hata Chelsea alishinda kwa sababu ya refa kuruhusu Cahil ausukume mpira kwa mkono ukielekea wavuni!Cahil alistahili kadi nyekundu na penalty
Man U hata sare hapati Anfield na Man U hii hamfungi Chelsea,Man City wala Arsenal
Statling ni naniJamie Carragher has picked the Liverpool side hed choose to play Man United at Anfield on Sunday.
Mignolet,
can, skirtel, sakho,
marcovic Allen, Henderson, Moreno
Lallana, Coutinho
Statling
Jamie Carragher has picked the Liverpool side hed choose to play Man United at Anfield on Sunday.
Mignolet,
can, skirtel, sakho,
marcovic Allen, Henderson, Moreno
Lallana, Coutinho
Statling
Jamie Carragher has picked the Liverpool side hed choose to play Man United at Anfield on Sunday.
Mignolet,
can, skirtel, sakho,
marcovic Allen, Henderson, Moreno
Lallana, Coutinho
Statling
Statling ni nani
Mmmmh mkuu wewe no mtata sana kama si mwana soka bhana
DS tangu anarudi Kutoka majeruhi, his pace and movements zimepungua, He needs time kurecover, Kakaa nje muda mrefu!!
But, Siyo wa kuanza kwenye big matches, atakuwa anaslow mashambulizi!!
I'd go with RS upfront..