JE abaki,GJ aondoke
Binafsi sioni ubora wa Origi, labda kama atakuja kuni prove wrong huku LFC, nahisi kama tumenunua Dany Pachecco ama Ngog mpya aisee. Plz BR let us go for Lacazzete ama Icard, Tabia ya Sturridge itatunyima mengi
POLL:
Kati ya GJ na Jose Enrique ni nani ambaye unaona anafaa kuondoka summer inayokuja????
Rumours : Jordan Henderson turned down an 80,000 a week deal last year, still mazungumzo yanaendelea, the bad thing is Barcelona want him on a free transfer next January.
Jordan Henderson huko Barca akacheze namba ya nani? Kuwa vice captain kunataka kumuotesha mapembe bwa' mdogo, kashajiona yuko level za kina Stevie G
Waingereza wana mentality ya ajabu sana, yaani Henderson anakataa 80k/week wakati mchezaji kama Ivanovic analipwa 75k na hana kelele ukizingatia ana mchango mkubwa sana na club yake kuliko huyu dogo
Jordan Henderson huko Barca akacheze namba ya nani? Kuwa vice captain kunataka kumuotesha mapembe bwa' mdogo, kashajiona yuko level za kina Stevie G
Waingereza wana mentality ya ajabu sana, yaani Henderson anakataa 80k/week wakati mchezaji kama Ivanovic analipwa 75k na hana kelele ukizingatia ana mchango mkubwa sana na club yake kuliko huyu dogo
Alafu hawa kwao iyo mishahara haina makato ya ajabu kama kwa foreigners, but kwa msaada anaotoa anastahili kuongezewa mshahara, ila cjui anataka ngapi kama aliipiga chini 80,000/week
Yea ndio hapo hapo, tutamchinja tu uyu Villa, Ingawa sisi ndio tutabadili jezi siku iyo. Kikubwa tumalizane na hawa Blackburn tu
Jordan Henderson huko Barca akacheze namba ya nani? Kuwa vice captain kunataka kumuotesha mapembe bwa' mdogo, kashajiona yuko level za kina Stevie G
Waingereza wana mentality ya ajabu sana, yaani Henderson anakataa 80k/week wakati mchezaji kama Ivanovic analipwa 75k na hana kelele ukizingatia ana mchango mkubwa sana na club yake kuliko huyu dogo
Rumours : Jordan Henderson turned down an 80,000 a week deal last year, still mazungumzo yanaendelea, the bad thing is Barcelona want him on a free transfer next January.
Kwa kuguess tu atataka 120k au karibia na huko kama kina Luke Shaw
Kama anajiona anajua sana athubutu kwenda huko Barca, ila ningemshauri kwanza amuulize Song kilichompata kule
Binafsi, hakuna a better DM duniani kama Mascherano, pamoja na kuwa anachezeshwa kama beki huko Barca lakini cheki performance yake kwenye World Cup.
Sasa kama Mascherano kageuzwa beki wa kati, Henderson ataenda kuwa back up wa beki 2 na akirudishwa EPL atapelekwa kwa mkopo QPR
Kwa kuguess tu atataka 120k au karibia na huko kama kina Luke Shaw
Kama anajiona anajua sana athubutu kwenda huko Barca, ila ningemshauri kwanza amuulize Song kilichompata kule
Binafsi, hakuna a better DM duniani kama Mascherano, pamoja na kuwa anachezeshwa kama beki huko Barca lakini cheki performance yake kwenye World Cup.
Sasa kama Mascherano kageuzwa beki wa kati, Henderson ataenda kuwa back up wa beki 2 na akirudishwa EPL atapelekwa kwa mkopo QPR
Ni kama vile Kyle Walker wa Spurs alipokuwa Linked kwenda Barcelona, Au Dembele kwenda Madrid kipind kile wakat yupo Fulham!!!
Henderson hawez kuwafanya Barca wakae vikao kisa yeye!!!
Masch alipoondoka kipind kile LFC iliyumba sana kwenye midfield mpaka Lucas (wa kabla ya injuries) alipokuja kukaa sawa, lakin kaenda Barca kule, katupwa kwenye Back-line kule!!! na katikati Barca hawajapungukiwa na chochote!!!
Asa Mr. Hendo ndo aende Barca jamani!!!!! ukute mwenyewe alivyozisoma hizo rumours kwenye Medias alicheka sana!!!!
Hivi mko serious na Ings?
Ings, deal ishakamilika yule!!!
labda LFC waamue kuivunja wenyewe!!!
But, naweza nikasema ni "kama" LFC player tayari!!!!
Uamuzi upo kwa BR!!!
kubadili jezi si hadi zifanane?